Ambiguity of languages

Ambiguity of languages

mshana huja sema kama mass imefungwa au laaaa....
 
Last edited by a moderator:
sio ndege kiumbe bali ni ndege ya kubeba abiria
 
si ndege hai ni ndege ulaya. zamani tulikua tunaita ndege ulaya !
 
Ni mnyama ambaye mwili wake umefunikwa na manyoya ambaye huendeleza kizazi chake kwa kutaga mayai. Aghalabu, myama huyu huwa na uwezo wa kuruka angani

Zawadi yako iko wazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom