Upepo umegoma kuvuma,anga limekataa, ndumba zimeexpire,wazee wa anga wanafata wananchi wanataka nini.System imempiga bench ameanza kupiga kelele asubiri dawa iingie vizuri wakiwa madarakani kuwa wanakuwa miungu watu hawa wapuuzi.
Upepo umegoma kuvuma,anga limekataa, ndumba zimeexpire,wazee wa anga wanafata wananchi wanataka nini.System imempiga bench ameanza kupiga kelele asubiri dawa iingie vizuri wakiwa madarakani kuwa wanakuwa miungu watu hawa wapuuzi.
Ready the world history Nobody succeeded silencing people by killing.Not true, Magu has never been good to anybody, he has made people hypocrites, not loyal. Peopole hate him because of killing innocent people; including his assassination attempt against Lissu!
Ready the world history Nobody succeeded silencing people by killing.
U kill one rising more it's human nature.
Kama unaamini utawanyamazisha watu kwa kuwauwa ukapimwe akili.
Not true, Magu has never been good to anybody, he has made people hypocrites, not loyal. Peopole hate him because of killing innocent people; including his assassination attempt against Lissu!
Uzuri ni kwamba wanaolalamika ni wachache waliozea hela za ujanja ujanja, pia uzuri kuwa JPM ameandika historia ambayo itakumbukwa mpaka kizazi cha tano cha watanzania, maendeleo aliyowapatia watanzania yanawakumbusha watanzania wengi uzalendo wa kujenga nchi, uaminifu na focus kama kiongozi wa nchi, ameweka alama isiyofutika. Tanzania kwanza.[/QUOTES
Ukikumbukwa kwa mabaya je
Ndugu kama Kiingereza hujui acha, usiharibu kiswahili kwa kutumia google translatorMaisha yamenifundisha kuwa huwezi kudhibiti uaminifu wa mtu. Haijalishi wewe ni mzuri kwao, haimaanishi watakuthamini sawa. Wakati mwingine watu unaowapenda zaidi, wanageuka kuwa watu ambao unaweza kuwaamini hata kidogo.
Inngependeza zaidi kama ungeonyesha hayo maendeleo unayosema! kusema kafanya tu bila mifano halisi ni yaleyale ya alinacha!Uzuri ni kwamba wanaolalamika ni wachache waliozea hela za ujanja ujanja, pia uzuri kuwa JPM ameandika historia ambayo itakumbukwa mpaka kizazi cha tano cha watanzania, maendeleo aliyowapatia watanzania yanawakumbusha watanzania wengi uzalendo wa kujenga nchi, uaminifu na focus kama kiongozi wa nchi, ameweka alama isiyofutika. Tanzania kwanza.
Tuweke kumbukumbu sawa; mawaziri wakistaafu au wasipochaguliwa huaga hawana kipato kutoka serikalini, Kagasheki sio wa kwanza kua nje ya mfumo, kuna akina Kapuya nk, wote hawa wanaishi kwa pesa au miradi waliojiwekezea wakiwa bado wanavyo vipato, huyu kapigwaje na system?System imempiga bench ameanza kupiga kelele asubiri dawa iingie vizuri wakiwa madarakani kuwa wanakuwa miungu watu hawa wapuuzi.
Tafsiri yako ni kama ya mtu yule!Maisha yamenifundisha kuwa huwezi kudhibiti uaminifu wa mtu. Haijalishi wewe ni mzuri kwao, haimaanishi watakuthamini sawa. Wakati mwingine watu unaowapenda zaidi, wanageuka kuwa watu ambao unaweza kuwaamini hata kidogo.
UgimbiNani akinisikia?
Tetete sawa mkuuTafsiri yako ni kama ya mtu yule!
Mkuu, nilikuwa nachombeza tu! Mi nipo pamoja na wewe!Kufagilia lugha ya Taifa itakuwaje uchochezi blaza?
Kuingia kwa Magufuli CCM ni sawa na nguruwe kuingia msikitini. Amenajisi chama, ila iko siku ambayo hata amini yatakayompata.The man will be the most hated person in Tanzania after his retirement.Probably he would seek an asylum.