Ndo maana mimi naunga mkono hukumu ya kifo kwa wanaizaya, wana watoka pabaya na kenge wengineo kwa 100%. Unafikiri wazazi wa huyo mtoto hawatamani hao kenge nao wadedishwe? Halafu anajitokeza mwanaharakati uchwara wa haki za binadamu anaanza kutetea hayo mapimbi eti "Ooooh hawa pimbi wana haki ya kuishi..".Swali ni je, hao wabakaji + wauaji hawakujua kuwa huyo binti naye alikuwa na haki ya kuishi?
Nyinyi wanaharakati njaa acheni kutetea majitu ya ajabu ajabu kwa kuwa tu nyinyi hamjawahi kutendewa unyama na hayo majitu.
Mhe.Rais, nakuomba zile hukumu uendelee kuzisaini. Kama huruma imekuelemea basi nakuomba uniruhusu mimi niwe nazisaini. Na kule gerezani kama wanyongaji wamekaribia kustaafu naomba hiyo kazi unipe, na niko tayari kuifanya kwa ujira mdogo ili kupunguza gharama za serikali. Na nitaanza na hao 'pimbi' 4 na kisha yule wa Kigamboni aliyemchoma mkewe kwa magunia 2 ya mkaa, utadhani alikuwa anatengeneza matofali ya kuchoma.
I hate murderers, I hate them bitterly. God hates them too, and He'll cast them in a fiery hell. 😬😠