Chali wa Moshi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 258
- 61
Kitu ambacho C.C.M na watu wao hawafahamu ni kwamba, kwa sasa waTanzania wanachotaka ni mabadiliko tuu, haijalishi ninani ambaye atayaleta, kwaiyo hata kama ni Membe au Wassira angekuwa UKAWA, angeshinda tuu kwasababu watanzania wanachotaka ni kuweka serikali nyingine madarakani, haijalishi ni nani ataiyongoza hiyo serikali. Sasa wao kupoteza muda kumshambulia Lowassa majukwaani ni sawa na bure kwasababu hawajaelewa target ya watanzania ni nini.
My take, serikali sio kama wazazi wako ambao hata kama wakikukose huwezi kuwakataa, bali serikali ni kama nguo, inapo chakaa lazima utanunua nyingine tuu, NO MATTER WHAT!
kwa saa, tunataka kununua nguo nyingine! hii ya sasa imeshachakaa sana mpaka majirani wenzetu wanatushangaa kwa nini bado tunavaa nguo ile, ile kwa nusu karne sasa na wakati imeshachakaa.
My take, serikali sio kama wazazi wako ambao hata kama wakikukose huwezi kuwakataa, bali serikali ni kama nguo, inapo chakaa lazima utanunua nyingine tuu, NO MATTER WHAT!
kwa saa, tunataka kununua nguo nyingine! hii ya sasa imeshachakaa sana mpaka majirani wenzetu wanatushangaa kwa nini bado tunavaa nguo ile, ile kwa nusu karne sasa na wakati imeshachakaa.