You are very right. Swala la kuhoji mambo lilishafanywa dhambi toka ngazi ya familia. Ukihoji mambo wazazi wanakuona ni mtoto usiye na adabu au mtukutu kumbe kuhoji ni haki ya msingi ya mtu yeyote mwenye akili timamu.
Tuwajenge watoto waweze kuhoji na sio kuwaswaga tu kwa interest zetu. Hali hii imetembea kwenye ngazi za familia, vitongoji, vijiji, wilaya mikoa mpaka taifa kwa ujumla.
Mtu akiwa na mamlaka anataka asihojiwe kila mtu afate anachotaka tu hata kama hakina manufaa. Mwisho tunaanza kufanyiana umafia sasa.