Amani tunayoichezea hakika tutaikumbuka

Amani tunayoichezea hakika tutaikumbuka

Huu utulivu tusiopeteze ndugu.Changamoto zitatuliwe kwa njia nzuri na si kudhalilishana na kupakana matope
Ndugu wa waliotekwa na kupotea wao wanao huo utulivu unaousema?
Kwa nini haujawahi kuwashauri watekaji watumie njia mbadala wa hiyo ya kuteka na kupoteza?
 
Mi nadhani wangemwachia huyo Lisu ili tuendelee na amani japo hata kama tunaishi kinafiki.
Hizi vurugu zinazoendelea hazina mashiko kwa nchi masikini kama hii
 
Mi nadhani wangemwachia huyo Lisu ili tuendelee na amani japo hata kama tunaishi kinafiki.
Hizi vurugu zinazoendelea hazina mashiko kwa nchi masikini kama hii
Na wanapomshikiria ndiyo wajue wanawasha moto, Amani gari kwenye nchi iliyo kwenye dimbwi la ufisadi na kudhurumu haki za raia.
 
Wasalaam,kumekua na joto kubwa la kisiasa ndani na nje ya nchi yetu. Amani imetulewesha mpaka hatuoni umuhimu wake. Viongozi wa kidini wamejipenyeza kwenye siasa na wanasiasa wamejipenyeza kwenye dini.
Kutupiana lawama ndio imekua msingi mkuu.Hawa wanasema wameonewa na wale wanasema sheria haifuatwi.
Siku amani ya nchi yetu itakapozimika tukawa kama Congo kwa tamaa za watu wachache kutaka mali na madaraka kwa nguvu hakika tutaikumbuka hii amani.
Unatakiwa uelewe kwamba wananchi wamechoka na wenye makosa wanajulikana ila wameshupaza shingo na kibaya zaid wao ndo wapo mbele kuhubiri amani lakini pia hawapo tayari kuidumisha hiyo amani
 
Wasalaam,kumekua na joto kubwa la kisiasa ndani na nje ya nchi yetu. Amani imetulewesha mpaka hatuoni umuhimu wake. Viongozi wa kidini wamejipenyeza kwenye siasa na wanasiasa wamejipenyeza kwenye dini.
Kutupiana lawama ndio imekua msingi mkuu.Hawa wanasema wameonewa na wale wanasema sheria haifuatwi.
Siku amani ya nchi yetu itakapozimika tukawa kama Congo kwa tamaa za watu wachache kutaka mali na madaraka kwa nguvu hakika tutaikumbuka hii amani.
Wewe ulizaliwa kufanya siasa? Kwa taarifa yako maamuzi ya kisiasa huwa Yana pande mbili chanya na hasi

Mfano maamuzi ya kisiasa yanaweza kusababishi biashara kukua ama kufa

Kwa Tanzania mmeenda mbali zaidi mnatumia mfumo wa unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni mfumo unao wezesha wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a k.a kujizima data kama wewe kwasasa uchawa tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo

Huu mfumo wa unyumbu ikifika kipindi cha uchaguzi husasishwa, (updated), kwa kurubuni wanasiasa walioko kwenye chama dola na vyama vya upinzani kurubuniwa kwa hali na mali hatimaye hukengeuka kwa kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwa kujizima data ili walitumikie kundi fulani, (self absorbed group) kwa masilahi binafsi

Tanzania tuliandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukihoji kwenye ngazi hiyo utaambiwa kama umekua uondoke tabia ya kukataa kuhojiwa kwasasa imebebwa kwenye ngazi zote za maisha iwe mashuleni, kanisani, vyuoni, kwenye vyama vya siasa na kwingineko

CCM mmeenda mbali mnafurahia watu kutekwa kupotezwa kwasasa mnao wateka mnawabaka na kuwalawiti mlivyo na dharau wapiga kura wenu mnawaita kenge

Kunyamaza siyo amani bali ni kusalimu amri kwa majukumu ya kijamii ama kitaifa

Silence surrenders public responsibilities
 
Wasalaam,kumekua na joto kubwa la kisiasa ndani na nje ya nchi yetu. Amani imetulewesha mpaka hatuoni umuhimu wake. Viongozi wa kidini wamejipenyeza kwenye siasa na wanasiasa wamejipenyeza kwenye dini.
Kutupiana lawama ndio imekua msingi mkuu.Hawa wanasema wameonewa na wale wanasema sheria haifuatwi.
Siku amani ya nchi yetu itakapozimika tukawa kama Congo kwa tamaa za watu wachache kutaka mali na madaraka kwa nguvu hakika tutaikumbuka hii amani.
20250528_065440.jpg
 
Hao wanaodaiwa wanateka watu wanadai hakuna ushahidi? Wanaotekwa wanadai ni serikali? Hapo mi sijui nini kifanyike mana hali sio nzuri wadau
Ushahidi wa moja kwamoja hakuna ila kwa matendo ya askari wetu viashirio ni kuwa wanahusika kwa namna fulani.

Chukulia tu lawama anazofikishiwa SACP Mafwele. Hajajitokeza kujisafisha mpaka sasa.
 
Wasalaam,kumekua na joto kubwa la kisiasa ndani na nje ya nchi yetu. Amani imetulewesha mpaka hatuoni umuhimu wake. Viongozi wa kidini wamejipenyeza kwenye siasa na wanasiasa wamejipenyeza kwenye dini.
Kutupiana lawama ndio imekua msingi mkuu.Hawa wanasema wameonewa na wale wanasema sheria haifuatwi.
Siku amani ya nchi yetu itakapozimika tukawa kama Congo kwa tamaa za watu wachache kutaka mali na madaraka kwa nguvu hakika tutaikumbuka hii amani.
Wataje wanaochezea ili tuwakumbushe.
 
Wewe ulizaliwa kufanya siasa? Kwa taarifa yako maamuzi ya kisiasa huwa Yana pande mbili chanya na hasi mfumo maamuzi ya kisiasa yanaweza kisababishi biashara kukua ama kufa

Kwa Tanzania mmeenda mbali zaidi mnatumia mfumo wa unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni mfumo unao wezesha wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a k.a kujizima data kama wewe kwasasa uchawa tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo

Huu mfumo wa unyumbu ikifika kipindi cha uchaguzi husasishwa, (updated), kwa kurubuni wanasiasa walioko kwenye chama dola na vyama vya upinzani kurubuniwa kwa hali na mali hatimaye hukengeuka kwa kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwa kujizima data ili walitumikie kundi fulani, (self absorbed group) kwa masilahi binafsi

Tanzania tuliandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukihoji kwenye ngazi hiyo utaambiwa kama umekua uondoke tabia ya kukataa kuhojiwa kwasasa imebebwa kwenye ngazi zote za maisha iwe mashuleni, kanisani, vyuoni, kwenye vyama vya siasa na kwingineko

Kunyamaza siyo amani bali ni kusalimu amri kwa majukumu ya kijamii ama kitaifa

Silence surrenders public responsibilities
You are very right. Swala la kuhoji mambo lilishafanywa dhambi toka ngazi ya familia. Ukihoji mambo wazazi wanakuona ni mtoto usiye na adabu au mtukutu kumbe kuhoji ni haki ya msingi ya mtu yeyote mwenye akili timamu.

Tuwajenge watoto waweze kuhoji na sio kuwaswaga tu kwa interest zetu. Hali hii imetembea kwenye ngazi za familia, vitongoji, vijiji, wilaya mikoa mpaka taifa kwa ujumla.

Mtu akiwa na mamlaka anataka asihojiwe kila mtu afate anachotaka tu hata kama hakina manufaa. Mwisho tunaanza kufanyiana umafia sasa.
 
Huu utulivu tusiopeteze ndugu.Changamoto zitatuliwe kwa njia nzuri na si kudhalilishana na kupakana matope
Kwa akili yako, unaona anaeharibu amani ya nchi ni wananchi wenyewe au watawala wa nchi?
 
Back
Top Bottom