Nimefuatilia Matamko mbalimbali ya Viongozi wa Serikali na wale vyama vya Upinzani.
1. Alianza Rais kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
2. Akaja Wasira kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
3. Akaja Mrema kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
4. Akaja Cheyo kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
Nimejarabu kutafakari ni nini hasa kimewatuma hawa watu kutoa kauli hizo hapo juu
Je ni Uzalendo na Uchungu wa Kweli walio nao dhidi ya Watanzania Maskini ambao kila siku Serikali inaendelea kuwatia Umasikini kwa maagizo yao yasiyozingatia haki za Kibinadamu?
Je ni Kweli katika Maandamano yalianza Mwanza ya CHADEMA kuna mtu hata mmoja aliyelalamika kupigwa au hata kuvunjiwa duka lake na Waandamanaji?
Je baada ya Maandaamno, waandamanaji wamevamia ofisi yeyote ya Serikali ya ya Mtu Binafsi na kufanya Uharibifu?
Majibu ya Maswali yote hapo juu ni HAPANA
Sasa kama ni Hapana ni nini kimeisukuma Serikali kuja Hadharani na Kutoa Matamko ya Vitisho dhidi ya CHADEMA?
Jibu ni Rahisi sana,
SERIKALI inaumbuka
1. Sasa Inasali kila Kukicha Waandamanaji wa CHADEMA wafanye Vurugu
2. Inasali kila kukicha Viongozi wa CHADEMA wawachochee wafuasi wao kufanya Vurugu
Bahati Mbaya Sala zao hazijibiwi na SHETANI na Siku zinakwenda hakuna Machafuko wala Uvunjifu wa Amani, Wanaona Haya, Wanajisikia Aibu, Wanajisikia wana Hatia ya Vifo vya Waaandamanaji wa Arusha, Wanatamani Vurugu zitokee waseme "si Mnaona hawa jamaa ni watu wa Fujo, Tuliwaambie msiende kwenye Maandamano yenu"
Je Unafikiri Serikali imekata tamaa juu ya Kutengeneza Fujo katika Maandamano ya CHADEMA? kama unafikiri hivyo unajidanganya sana. Sasa watafanya nini?
1. Kutoa kauli za kuwa provoke Viongozi na Mashabiki wa CHADEMA ili nao wakijibu wapate mahali pa Kuanzia
2. Kuweka mitego ya kisheria kama ilivyotokea juzi Malampaka ili kuwakamata Viongozi wa CHADEMA, waamshe Hasira za Wananchi, wawapige Risasi halafu waje na Visingizio vya " Walitaka kuvamia kituo cha Polisi kutoa Viongozi"
Ushari wangu kwa CHADEMA na Viongozi na Mahabiki wake
1. Stay Focus on the Issue, Wahimizeni Mashabiki wenu wasilete Fujo na si vibaya mkawatahadharisha juu ya Mitego dhali ya Serikali
2. Msiwajibu akina Wasira, Mrema, Cheyo acheni Uma uwajibu kama Ulivyomjibu JK kule Bukoba ( Mkulu ameumia sana na Mwitikio wa watu baada ya kaauli yake ya kuwataka wawapuuze)
Asanteni
Nini maana ya maandamano ya amani? Mimi nilichoona ni hiki, ktk maandamano ya CHADEMA, hata viwete na walemavu wanaandamana bila kuumia. Mfano BK, mama mlemavu (kiwete) na mwanae, wameshiriki maandamano.....
Na mwaka huu kwa maandamano haya , serikali ikae macho watu wanaanza kufumbuliwa macho na kuona ukweli.wanaogopa kwani wananchi wanazidi kufumbuka macho na kupata mwamko.
Kama mko makini, kuna Kiongozi wa walemavu, ambaye pia amepandikizwa, ameongea kwenye Taarifa ya habari ya jana na leo,ITV, anasema kuwa in case kukitokea vurugu nchini, watakaoumia ni wao walemavu, maana hawana uwezo wa kukimbia!..
Ninachojiuliza , kwanini hawa watu hawaongelei kabisa kipengele cha Ufisadi, ugumu wa maisha, Umeme na sakata la Dowans,...wanachoona wao ni fujo kutokea tu?..
Mambo haya kweli nakubali ni mageni hapa Tasnzania!, na serikali inatumia mwanya huo kutisha watu kwa kuwatumia puppets wake.
Kuna formula niliisoma jana kwenye gazeti la MwanaHalisi sikumbuki mwandishi wake lakini nikaipenda.
Formula hiyo inakwenda hivi
MAANDAMANO - INTELENGESIA = UTULIVU
Hiyo formula imekuwa proved kwenye maandamano ya Mwanza, Msoma, Shinyanga na Kagera.
Kwa wale mliojifunza hesabu kidogo, hivyo basi
MAANDAMANO + UTULIVU = INTELENGESIA
INTELENGESIA = VURUGU
Kwahiyo basi mimi ninaona card ya mwisho iliyobaki kwa CCM ni kuzuia maandamano ya amani ya CDM kwa kisingizio cha
intelengesia ili kuamusha hasira za watu ili vurugu zitokee. Hiyo formula imekuwa proved Arusha (M + U = I, I stands for vurugu)
Kuwashika viongozi wa CDM it is too late JK hana ubavu huo unless aache kutembeza bakuli kwa wahisani. Hivyo turufu ya JK na CCM
imelala kwenye intelengesia ya Said Mwema, kupiga marufuku mikutano na maandamano ya CDM ili polisi waanzishe vurugu na kuwapiga raia risasi za moto.
Nimefuatilia Matamko mbalimbali ya Viongozi wa Serikali na wale vyama vya Upinzani.
1. Alianza Rais kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
2. Akaja Wasira kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
3. Akaja Mrema kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
4. Akaja Cheyo kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
Nimejarabu kutafakari ni nini hasa kimewatuma hawa watu kutoa kauli hizo hapo juu
Je ni Uzalendo na Uchungu wa Kweli walio nao dhidi ya Watanzania Maskini ambao kila siku Serikali inaendelea kuwatia Umasikini kwa maagizo yao yasiyozingatia haki za Kibinadamu?
Je ni Kweli katika Maandamano yalianza Mwanza ya CHADEMA kuna mtu hata mmoja aliyelalamika kupigwa au hata kuvunjiwa duka lake na Waandamanaji?
Je baada ya Maandaamno, waandamanaji wamevamia ofisi yeyote ya Serikali ya ya Mtu Binafsi na kufanya Uharibifu?
Majibu ya Maswali yote hapo juu ni HAPANA
Sasa kama ni Hapana ni nini kimeisukuma Serikali kuja Hadharani na Kutoa Matamko ya Vitisho dhidi ya CHADEMA?
Jibu ni Rahisi sana,
SERIKALI inaumbuka
1. Sasa Inasali kila Kukicha Waandamanaji wa CHADEMA wafanye Vurugu
2. Inasali kila kukicha Viongozi wa CHADEMA wawachochee wafuasi wao kufanya Vurugu
Bahati Mbaya Sala zao hazijibiwi na SHETANI na Siku zinakwenda hakuna Machafuko wala Uvunjifu wa Amani, Wanaona Haya, Wanajisikia Aibu, Wanajisikia wana Hatia ya Vifo vya Waaandamanaji wa Arusha, Wanatamani Vurugu zitokee waseme "si Mnaona hawa jamaa ni watu wa Fujo, Tuliwaambie msiende kwenye Maandamano yenu"
Je Unafikiri Serikali imekata tamaa juu ya Kutengeneza Fujo katika Maandamano ya CHADEMA? kama unafikiri hivyo unajidanganya sana. Sasa watafanya nini?
1. Kutoa kauli za kuwa provoke Viongozi na Mashabiki wa CHADEMA ili nao wakijibu wapate mahali pa Kuanzia
2. Kuweka mitego ya kisheria kama ilivyotokea juzi Malampaka ili kuwakamata Viongozi wa CHADEMA, waamshe Hasira za Wananchi, wawapige Risasi halafu waje na Visingizio vya " Walitaka kuvamia kituo cha Polisi kutoa Viongozi"
Ushari wangu kwa CHADEMA na Viongozi na Mahabiki wake
1. Stay Focus on the Issue, Wahimizeni Mashabiki wenu wasilete Fujo na si vibaya mkawatahadharisha juu ya Mitego dhali ya Serikali
2. Msiwajibu akina Wasira, Mrema, Cheyo acheni Uma uwajibu kama Ulivyomjibu JK kule Bukoba ( Mkulu ameumia sana na Mwitikio wa watu baada ya kaauli yake ya kuwataka wawapuuze)
Asanteni
Usisahau kuwa MREMA na CHEYO ni mbwa wa boss