Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nimefuatilia Matamko mbalimbali ya Viongozi wa Serikali na wale vyama vya Upinzani.
1. Alianza Rais kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
2. Akaja Wasira kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
3. Akaja Mrema kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
4. Akaja Cheyo kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
Nimejarabu kutafakari ni nini hasa kimewatuma hawa watu kutoa kauli hizo hapo juu
Je ni Uzalendo na Uchungu wa Kweli walio nao dhidi ya Watanzania Maskini ambao kila siku Serikali inaendelea kuwatia Umasikini kwa maagizo yao yasiyozingatia haki za Kibinadamu?
Je ni Kweli katika Maandamano yalianza Mwanza ya CHADEMA kuna mtu hata mmoja aliyelalamika kupigwa au hata kuvunjiwa duka lake na Waandamanaji?
Je baada ya Maandaamno, waandamanaji wamevamia ofisi yeyote ya Serikali ya ya Mtu Binafsi na kufanya Uharibifu?
Majibu ya Maswali yote hapo juu ni HAPANA
Sasa kama ni Hapana ni nini kimeisukuma Serikali kuja Hadharani na Kutoa Matamko ya Vitisho dhidi ya CHADEMA?
Jibu ni Rahisi sana,
SERIKALI inaumbuka
1. Sasa Inasali kila Kukicha Waandamanaji wa CHADEMA wafanye Vurugu
2. Inasali kila kukicha Viongozi wa CHADEMA wawachochee wafuasi wao kufanya Vurugu
Bahati Mbaya Sala zao hazijibiwi na SHETANI na Siku zinakwenda hakuna Machafuko wala Uvunjifu wa Amani, Wanaona Haya, Wanajisikia Aibu, Wanajisikia wana Hatia ya Vifo vya Waaandamanaji wa Arusha, Wanatamani Vurugu zitokee waseme "si Mnaona hawa jamaa ni watu wa Fujo, Tuliwaambie msiende kwenye Maandamano yenu"
Je Unafikiri Serikali imekata tamaa juu ya Kutengeneza Fujo katika Maandamano ya CHADEMA? kama unafikiri hivyo unajidanganya sana. Sasa watafanya nini?
1. Kutoa kauli za kuwa provoke Viongozi na Mashabiki wa CHADEMA ili nao wakijibu wapate mahali pa Kuanzia
2. Kuweka mitego ya kisheria kama ilivyotokea juzi Malampaka ili kuwakamata Viongozi wa CHADEMA, waamshe Hasira za Wananchi, wawapige Risasi halafu waje na Visingizio vya " Walitaka kuvamia kituo cha Polisi kutoa Viongozi"
Ushari wangu kwa CHADEMA na Viongozi na Mahabiki wake
1. Stay Focus on the Issue, Wahimizeni Mashabiki wenu wasilete Fujo na si vibaya mkawatahadharisha juu ya Mitego dhali ya Serikali
2. Msiwajibu akina Wasira, Mrema, Cheyo acheni Uma uwajibu kama Ulivyomjibu JK kule Bukoba ( Mkulu ameumia sana na Mwitikio wa watu baada ya kaauli yake ya kuwataka wawapuuze)
Asanteni
1. Alianza Rais kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
2. Akaja Wasira kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
3. Akaja Mrema kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
4. Akaja Cheyo kueleza kwamba CHADEMA kinachochea Vurugu katika Maandamano yake kinachoyafanya nchi nzima
Nimejarabu kutafakari ni nini hasa kimewatuma hawa watu kutoa kauli hizo hapo juu
Je ni Uzalendo na Uchungu wa Kweli walio nao dhidi ya Watanzania Maskini ambao kila siku Serikali inaendelea kuwatia Umasikini kwa maagizo yao yasiyozingatia haki za Kibinadamu?
Je ni Kweli katika Maandamano yalianza Mwanza ya CHADEMA kuna mtu hata mmoja aliyelalamika kupigwa au hata kuvunjiwa duka lake na Waandamanaji?
Je baada ya Maandaamno, waandamanaji wamevamia ofisi yeyote ya Serikali ya ya Mtu Binafsi na kufanya Uharibifu?
Majibu ya Maswali yote hapo juu ni HAPANA
Sasa kama ni Hapana ni nini kimeisukuma Serikali kuja Hadharani na Kutoa Matamko ya Vitisho dhidi ya CHADEMA?
Jibu ni Rahisi sana,
SERIKALI inaumbuka
1. Sasa Inasali kila Kukicha Waandamanaji wa CHADEMA wafanye Vurugu
2. Inasali kila kukicha Viongozi wa CHADEMA wawachochee wafuasi wao kufanya Vurugu
Bahati Mbaya Sala zao hazijibiwi na SHETANI na Siku zinakwenda hakuna Machafuko wala Uvunjifu wa Amani, Wanaona Haya, Wanajisikia Aibu, Wanajisikia wana Hatia ya Vifo vya Waaandamanaji wa Arusha, Wanatamani Vurugu zitokee waseme "si Mnaona hawa jamaa ni watu wa Fujo, Tuliwaambie msiende kwenye Maandamano yenu"
Je Unafikiri Serikali imekata tamaa juu ya Kutengeneza Fujo katika Maandamano ya CHADEMA? kama unafikiri hivyo unajidanganya sana. Sasa watafanya nini?
1. Kutoa kauli za kuwa provoke Viongozi na Mashabiki wa CHADEMA ili nao wakijibu wapate mahali pa Kuanzia
2. Kuweka mitego ya kisheria kama ilivyotokea juzi Malampaka ili kuwakamata Viongozi wa CHADEMA, waamshe Hasira za Wananchi, wawapige Risasi halafu waje na Visingizio vya " Walitaka kuvamia kituo cha Polisi kutoa Viongozi"
Ushari wangu kwa CHADEMA na Viongozi na Mahabiki wake
1. Stay Focus on the Issue, Wahimizeni Mashabiki wenu wasilete Fujo na si vibaya mkawatahadharisha juu ya Mitego dhali ya Serikali
2. Msiwajibu akina Wasira, Mrema, Cheyo acheni Uma uwajibu kama Ulivyomjibu JK kule Bukoba ( Mkulu ameumia sana na Mwitikio wa watu baada ya kaauli yake ya kuwataka wawapuuze)
Asanteni