Amani Haiji Ila kwa Ncha ya Upanga?

Amani Haiji Ila kwa Ncha ya Upanga?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Miongoni mwa Askari waliokuwa nje ya lango kulinda uvunjifu wowote wa amani wakati kesi ya Sheikh Ponder & Others ikiendelea

DSC_0366.jpg
 
Short gun aliyoishika huyo askari hapo juu ni moja ya silaha za kawaida sana, inaingiza risasi tano.
Hutumika sana kwa ulinzi wa nyumbani na private security companies.
Kwa mfano kama kweli watu wangedhamilia kufanya uvamizi kama taarifa za 'kiintelijensia' zilivyodai, na wavamizi wangekuja na AK47, huyo askari angeitupa hiyo short gun bila kupiga hata risasi moja.
 
Ponda3 (1).jpg
Job-hundred mahakamani....laiti angelijua masikini................
 
DSC_0424.jpg
Ras Makunja kila kona, hivi unaweza kukisia gharama za huyu mmoja pekee mpaka amesimama hapo?
 
Tisha Toto?
Short gun aliyoishika huyo askari hapo juu ni moja ya silaha za kawaida sana, inaingiza risasi tano.
Hutumika sana kwa ulinzi wa nyumbani na private security companies.
Kwa mfano kama kweli watu wangedhamilia kufanya uvamizi kama taarifa za 'kiintelijensia' zilivyodai, na wavamizi wangekuja na AK47, huyo askari angeitupa hiyo short gun bila kupiga hata risasi moja.
 
Kapendeza kikamanda ila geresha tu...akitishiwa tu anatoka nduki huyo..au anaishia kulipua waandishi wa habari... Waende Marekani wapate mafunzo ya SWAT....kidogo
 
Leo tunamcheka tunamsimanga na tunadhalilisha lakini ipo siku tutamuona wa maana..
 
Back
Top Bottom