LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Hakuna riba jisomee jinsi "islamic banking inavyofanya kazi" usitoe majibu kabla ya ufahamu
Ni darsa kubwa kabisa hilo...
Benki inapataje faida? Kwa mfano nikikopa TSh 10m/- kwa ajili ya "General purposes" nitarudisha TSh 10m/- baada ya lets say 2yrs hiyo hiyo au kuna "cha juu?" Kama kuna "cha juu" kinaitwaje?