mkuu. zito hajawahi kuhama
chama kama hawa makanjanja wa
chadema
1.lema~ alikuwa ccm, akaenda tlp,
sasa chadema, ni mroho wa
madaraka, pesa na jambazi la
magari lililostaafu.
2.mbowe~alikuwa ccm, na sasa
chadema, alikuwa dj. ni mpiga dili
maarufu na msanii...amewauzia
magari mabovu chadema kwa bei
ya juu sana, amejimilikisha gazeti
la chadema TANZANIA DAIMA,
anakopesha chama kwa riba ya juu
sana
3. slaa- alikuwa ccm na sasa
chadema, ni padri alieasi kanisa,
ana kashfa ya kula hela za kanisa
kwenye ujio wa papa. ,
amejikopesha hela za ruzuku ya
chama kinyume na taratibu za
chama. ameshinikiza chama
kimlipe mshahara mkubwa kama
mbunge, kadi yake ya ccm bado
anayo na anailipia kila mwezi
4.mtei- alikuwa ccm na sasa
chadema . aligoma kupigania
uhuru na nyerere. mtei ndio
anachagua viongozi wa chama pale
shambani kwake tengeru, kamati
kazi yake ni kupitisha tu viongozi
aliowachagua, ki ufupi ni dikteta