Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,159
- 1,054
- Thread starter
- #21
Zitto hajatoka Chadema ndio maana bado unahisi ni maarufu, lakini kama unataka kuwafahamu wale wengine ni pamoja na: Dr Walid Kaburu,Juliana Shonza,Habibu Mchange,Adam Chagulani,Dr Kitila Mkumbo....................... Loo orodha ni ndefu. Halafu hapo kwenye Red ni kiswahili au kiingereza?
hahahaha....! Pamoja sana mkuu. Inaelekea dogo bado mchanga.