Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,159
- 1,054
Kiukweli wanajamvi nimetamani kushare nanyi jambo ili,ambalo nimelifanyia utafiti mdogo nanikafanikiwa kubaini kitu.
Mimi nimesema na nafsi yangu na wewe sema na nafsi yako kwanza kisha changia.
Ndugu zangu kiukweli nimewafatilia kwa ukaribu karibu wote waliojitoa na kufukuzwa uwanachama ndani ya chadema,kiukweli wanakuwa kama weu alafu wanapungukiwa vitu vifuatavyo kama vile kukosa tena mvuto katika jamii,pia hawana hoja wanapokua wanaongea mbele ya watu. Kutokana na machache niliyoyabaini,nalazimika kusema ya kwamba;chadema inawabeba wanachama wake tofauti na tunavyo aminishwa na wasaliti wetu eti bila mimi chadema(samanini nimebana pua na kubinjua midomo kuonyesha nijinsi gani walivyokua wananichefua). Ila kama unabisha wafatari kwa ukaribu karibu wote walio tumuliwa na wale wote walio iama chadema. Lazima utawaona wanaongea pumba.
Soma hapa..
Haya aliyanena Zitto Z. Kabwe miaka miwili iliyopita:"Tumegundua kuwepo kwa juhudi za makusudi kutugombanisha CHADEMA.
Hiki ni chama makini, kimezibaini njia hizo na kwa hakika hakiwezi kusambaratishwa.CHADEMA ndiyo imenipa Umaarufu mimi.Mimi si maarufu kuliko Chama, CHADEMA ni taasisi.CHADEMA ni chama ambacho kina misingi katika uanzishwaji wake.Wanasema eti nilishinda kwa umaarufu wangu binafsi.SI KWELI. Niligombea ubunge nikitokea shule.Sikuwa najulikana. Niliikuta 'grassroot network'ya Chama.Hakikujengwa na mimi. CHADEMA ilijengwa na uongozi uliokuwepo. Nilikuta uongozi intact ( imara). Katika kila kijiji kulikuwa na uongozi na hata katika vitongoji vyote Wakati naingia kugombea ubunge kulikuwa na wanachama wa CHADEMA wenye kadi wanaofika katika jimbo zima.Katika mazingira kama haya utasemaje kuwa mimi ni maarufu kuliko chama wakati chama ndicho kimenipa umaarufu?CHADEMA ni Chama ambacho wenyeviti wake wastaafu wanaendelea kuenziwa na kuhudhuria vikao vyote vya Chama.
Kumbe hata zito alilijua hili?
Mimi nimesema na nafsi yangu na wewe sema na nafsi yako kwanza kisha changia.
Ndugu zangu kiukweli nimewafatilia kwa ukaribu karibu wote waliojitoa na kufukuzwa uwanachama ndani ya chadema,kiukweli wanakuwa kama weu alafu wanapungukiwa vitu vifuatavyo kama vile kukosa tena mvuto katika jamii,pia hawana hoja wanapokua wanaongea mbele ya watu. Kutokana na machache niliyoyabaini,nalazimika kusema ya kwamba;chadema inawabeba wanachama wake tofauti na tunavyo aminishwa na wasaliti wetu eti bila mimi chadema(samanini nimebana pua na kubinjua midomo kuonyesha nijinsi gani walivyokua wananichefua). Ila kama unabisha wafatari kwa ukaribu karibu wote walio tumuliwa na wale wote walio iama chadema. Lazima utawaona wanaongea pumba.
Soma hapa..
Haya aliyanena Zitto Z. Kabwe miaka miwili iliyopita:"Tumegundua kuwepo kwa juhudi za makusudi kutugombanisha CHADEMA.
Hiki ni chama makini, kimezibaini njia hizo na kwa hakika hakiwezi kusambaratishwa.CHADEMA ndiyo imenipa Umaarufu mimi.Mimi si maarufu kuliko Chama, CHADEMA ni taasisi.CHADEMA ni chama ambacho kina misingi katika uanzishwaji wake.Wanasema eti nilishinda kwa umaarufu wangu binafsi.SI KWELI. Niligombea ubunge nikitokea shule.Sikuwa najulikana. Niliikuta 'grassroot network'ya Chama.Hakikujengwa na mimi. CHADEMA ilijengwa na uongozi uliokuwepo. Nilikuta uongozi intact ( imara). Katika kila kijiji kulikuwa na uongozi na hata katika vitongoji vyote Wakati naingia kugombea ubunge kulikuwa na wanachama wa CHADEMA wenye kadi wanaofika katika jimbo zima.Katika mazingira kama haya utasemaje kuwa mimi ni maarufu kuliko chama wakati chama ndicho kimenipa umaarufu?CHADEMA ni Chama ambacho wenyeviti wake wastaafu wanaendelea kuenziwa na kuhudhuria vikao vyote vya Chama.
Kumbe hata zito alilijua hili?