Ama kweli watu wamechafukwa

Adui mwombee njaa
 
Duh! Aisee watu mnamajibu
Bingwa wa kusamehee myahudi mmoja aitwae Yesu hakuwasamehe wale walioligeuza hekalu la bwana pango la walanguzi na wanyang'anyi. Akapinduapindua meza zao. Sembuse sie wadhaifu tukawasamehe mashetani?????
 
Bingwa wa kusamehee myahudi mmoja aitwae Yesu hakuwasamehe wale walioligeuza hekalu la bwana pango la walanguzi na wanyang'anyi. Akapinduapindua meza zao. Sembuse sie wadhaifu tukawasamehe mashetani?????
Ahahahaaaaa nimeipenda hii #get well soon punda
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…