Ni sentensi iliyojitosheleza yenyewe.
Untill watu wamechafukwa kweli kweli na hawataki ujinga tena na wameamua kwa maisha yao ndipo maendeleo huja.
Ilikuwa hvyo kwa Europe, America, China, Japan na nchi nyingine zenye maendeleo makubwa.
Africa bado hatujapitia hal hyo.
White people killed eachother, then respect was put there..
Hakuna alietaka kurudia yaliyopita..
Discipline ikajengwa na maisha yakaanza moja.
Leo nipo kwenye mji ambao miaka kadhaa nyuma ulikua na machafuko ya vita ya dunia na ukawa wote umelazwa chin....sifur kabisa likabak jengo moja tu..
Ila sasa ni moja ja majiji bora dunian.
Aisee..
Maisha ni safar ndefu..
Uandishi mbovu..sorry Watu wa HKL..mnisamehe
Untill watu wamechafukwa kweli kweli na hawataki ujinga tena na wameamua kwa maisha yao ndipo maendeleo huja.
Ilikuwa hvyo kwa Europe, America, China, Japan na nchi nyingine zenye maendeleo makubwa.
Africa bado hatujapitia hal hyo.
White people killed eachother, then respect was put there..
Hakuna alietaka kurudia yaliyopita..
Discipline ikajengwa na maisha yakaanza moja.
Leo nipo kwenye mji ambao miaka kadhaa nyuma ulikua na machafuko ya vita ya dunia na ukawa wote umelazwa chin....sifur kabisa likabak jengo moja tu..
Ila sasa ni moja ja majiji bora dunian.
Aisee..
Maisha ni safar ndefu..
Uandishi mbovu..sorry Watu wa HKL..mnisamehe