Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Ni kweli aisee jamaa kaja mjini anavaa mikoti ya suti oversize hata ndevu ilikuwa shida kunyoa saivi ndio anatupelekesha hatari!Kuna jamaa mmoja alikuwa houseboy wetu miaka niko mdogo.
Alikuwa mshambamshamba tu ndo katoka kijijini.
Nilikuwa napiga story na binamu yangu mmoja, ananiambia kwamba jamaa alikuja kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio makubwa sana kwa kulinganisha na alipoanzia.
Hata Magu kaja mjini tunamuona anava mapekos na masuti oversize, sasa hivi anatupelekesha puta.
Mkuu,Habar yako bhnahajamalizia jamaniii khaa,.
mh haha kwel jamanihajamalizia jamaniii khaa,.
ha ha ha hah eti mapecos,imenibidi nicheke tuKuna jamaa mmoja alikuwa houseboy wetu miaka niko mdogo.
Alikuwa mshambamshamba tu ndo katoka kijijini.
Nilikuwa napiga story na binamu yangu mmoja, ananiambia kwamba jamaa alikuja kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio makubwa sana kwa kulinganisha na alipoanzia.
Hata Magu kaja mjini tunamuona anava mapekos na masuti oversize, sasa hivi anatupelekesha puta.
Salama ChiefMkuu,Habar yako bhna
Mwaka 2013 nilihamia morogoro pamoja na familia yangu kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo, wkt Niko pale( kwasasa nishaondoka) katika pilika za maisha nilikutana na jamaa mmoja( Jina kapuni) alikuwa akijishu
ghulisha na biashara ndogondogo Sokoni, hivisasa huyu bwana amehamia Dar es salaam na familia yake, maisha yamebadika na ana hali bora zaidi, yaani mpaka yeye mwenyewe haamini. My point: Tuishi vizuri na watu tulionao, sababu huwezi jua kesho ya mtu itakuwaje
Mwaka 2013 nilihamia morogoro pamoja na familia yangu kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo, wkt Niko pale( kwasasa nishaondoka) katika pilika za maisha nilikutana na jamaa mmoja( Jina kapuni) alikuwa akijishu
ghulisha na biashara ndogondogo Sokoni, hivisasa huyu bwana amehamia Dar es salaam na familia yake, maisha yamebadika na ana hali bora zaidi, yaani mpaka yeye mwenyewe haamini. My point: Tuishi vizuri na watu tulionao, sababu huwezi jua kesho ya mtu itakuwaje
Kweli kabisa, hata huyu jamaa mwanzo alikuwa na uwezo baadae akapoteza kila kitu sasa ndugu jamaa na marafiki wakamtenga kabisa, aliokuwa anakula nao bata wakapotea, maisha ya mjini yakamshinda ndo akakimbilia moro... yaani sshivi hataki kusikia cha ndugu wala rafikiMkuu usimchukulie mfano mtu mwenye maisha mazuri ndio hakustahiki kudharauliwa kwakua alikua hana saiv ameyapatia. Yatakiwa tusimdharau hata ambae aliyapatia ikisha yakamtoka na akawa ombaomba. Akawa mzima then ulemavu, ulemavu then uzima.
Kiujumla tusimzarau yeyote unaemjua usiemjua, mdogo mkubwa,rang yoyote, kabila lolote.
Dhumuni la kutuma mtihani wa 2013 ni?!Itt t