Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,902
- 145,982
Kuna jamaa mmoja alikuwa houseboy wetu miaka niko mdogo.Mwaka 2013 nilihamia morogoro pamoja na familia yangu kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo, wkt Niko pale( kwasasa nishaondoka) katika pilika za maisha nilikutana na jamaa mmoja( Jina kapuni) alikuwa akijishu
ghulisha na biashara ndogondogo Sokoni, hivisasa huyu bwana amehamia Dar es salaam na familia yake, maisha yamebadika na ana hali bora zaidi, yaani mpaka yeye mwenyewe haamini. My point: Tuishi vizuri na watu tulionao, sababu huwezi jua kesho ya mtu itakuwaje
Alikuwa mshambamshamba tu ndo katoka kijijini.
Nilikuwa napiga story na binamu yangu mmoja, ananiambia kwamba jamaa alikuja kuwa mfanyabiashara mwenye mafanikio makubwa sana kwa kulinganisha na alipoanzia.
Hata Magu kaja mjini tunamuona anava mapekos na masuti oversize, sasa hivi anatupelekesha puta.
