ex-man
Member
- Jun 3, 2018
- 64
- 46
Mwaka 2013 nilihamia Morogoro pamoja na familia yangu kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo, wakati niko pale( kwasasa nishaondoka) katika pilika za maisha nilikutana na jamaa mmoja( jina kapuni) alikuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo sokoni,
Hivi sasa huyu bwana amehamia Dar es salaam na familia yake, maisha yamebadilika na ana hali bora zaidi, yaani mpaka yeye mwenyewe haamini. My point: Tuishi vizuri na watu tulionao, sababu huwezi jua kesho ya mtu itakuwaje
Hivi sasa huyu bwana amehamia Dar es salaam na familia yake, maisha yamebadilika na ana hali bora zaidi, yaani mpaka yeye mwenyewe haamini. My point: Tuishi vizuri na watu tulionao, sababu huwezi jua kesho ya mtu itakuwaje
