Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Wanajamvi najua mtakumbuka historia ya kisiasa kwa upande wa viti vya Ubunge ilivyo na inavyotakiwa iwe na viongozi wa MAGAMBA kana kwamba Tabora hakuna watu wenye akili na uwezo wa kuongoza.
Kwa upande wa jimbo la Igunga baada ya pacha moja kujivua, alipelekwa Dr. Kafumu ili ashike nafasi huyu alitoka mji ambao hata mtoto mdogo wa Kichina ukimuuliza kuwa anapenda kuishi wapi atakujubu Dar es salaam tena ataongeza Kariakoo.
Baada ya Mwenyekiti wa Simba kuonekana kushindwa kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja, wamejitokeza baadhi ya vijana maalufu kama wazee wa fursa "OPPORTUNISTS" na kuanza kutangaza nia kabla hata Mzee wa Msimbazi hajatamka kama hatogombea tena au ndo niseme ila bastora imechafua mazingira ya yeye kuwania tena au!
Hivi karibuni mwandishi wa habari Maulid Kitenge amenukuliwa akisema anampango wa kwenda kugombea ubunge Tabora mjini navyojua hawezi kupanda chopa za M4C, kwa kuwa kituo anachofanyia kazi ni TBCMM hivyo lazima atajitumbukiza kwenye msafala wa mazishi ya ndugu yao CCMabwepande.
My take.
Huyu Maulid Kitenge asizani Tabora bado kama kituo chao cha matangazo kinavyoudanganya umma. Kwa sasa watu wameamka kama kazi ya uandishi imekushinda imba ata taarabu utatoka tu, mbona Mzee Yusuph kafanikiwa!
Kwa upande wa jimbo la Igunga baada ya pacha moja kujivua, alipelekwa Dr. Kafumu ili ashike nafasi huyu alitoka mji ambao hata mtoto mdogo wa Kichina ukimuuliza kuwa anapenda kuishi wapi atakujubu Dar es salaam tena ataongeza Kariakoo.
Baada ya Mwenyekiti wa Simba kuonekana kushindwa kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja, wamejitokeza baadhi ya vijana maalufu kama wazee wa fursa "OPPORTUNISTS" na kuanza kutangaza nia kabla hata Mzee wa Msimbazi hajatamka kama hatogombea tena au ndo niseme ila bastora imechafua mazingira ya yeye kuwania tena au!
Hivi karibuni mwandishi wa habari Maulid Kitenge amenukuliwa akisema anampango wa kwenda kugombea ubunge Tabora mjini navyojua hawezi kupanda chopa za M4C, kwa kuwa kituo anachofanyia kazi ni TBCMM hivyo lazima atajitumbukiza kwenye msafala wa mazishi ya ndugu yao CCMabwepande.
My take.
Huyu Maulid Kitenge asizani Tabora bado kama kituo chao cha matangazo kinavyoudanganya umma. Kwa sasa watu wameamka kama kazi ya uandishi imekushinda imba ata taarabu utatoka tu, mbona Mzee Yusuph kafanikiwa!