DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,348
- 83,297
Mm Nina 24 Nina mtoto miaka 8
Tabu tupu 🤣🤣🤣hii dunia yaaniMzee Mengi kazaa na Jacqueline akiwa na miaka 60+.
Kwa masikini vyote tabu tu, uwahi kuoa wakati una subwoofer tu ndani wajanja watakugongea mpk ndoa ivunjike.
Ukichelewa napo unazeeka vitoto ndiyo viko chekechea na ada huna.
Kwahiyo chagua moja
Life expectancy yetu ipo chini kilinganisha na huko wasipo waza kuzaa zaa tu ndio maana tunawaza kuzaa ili tuweze japo kuwasaidia watoto wetu wakifikia malengo yao tukiwa bado tuna nguvuWatanzania akili zote ni kuzaa kuzaa kuzaa
We siulisema huko na Mtoto ulimpata ulipokuwa Advance?Utundu ulianza mapema sana dogo janja mimi mpka sahivi niko kwenye late 20 Sina hata wa kusingiziwa
Niliuziwa mbuzi kwenye guniaWe siulisema huko na Mtoto ulimpata ulipokuwa Advance?
So sio wakuu mkuu???Niliuziwa mbuzi kwenye gunia
Ulizaa ukiwa na miaka 16?Mm Nina 24 Nina mtoto miaka 8
Naungana na wewe ila factors muhimu lazima zizingatiwe.Kweli mkuu, ila nashauri vijana, kuoa na kuzaa mapema kuna umuhimu sana
Sio wanguSo sio wakuu mkuu???