Ama kweli, majuto ni mjukuu

Ama kweli, majuto ni mjukuu

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,487
Reaction score
62,891
Natamani kwenye hii miaka yangu ya 40+, ningekuwa na watoto wawili wenye miaka 20+. Ambao ningeongozana nao, na kuonekana kama mtu na kaka yake. Ingependeza sana.

Sasa mambo yamekuwa tofauti; kwa tulio wengi kwenye hiyo miaka, bado tunapambana na bajeti za kununua pampasi kwa ajili ya watoto wetu. Na wengine, bado hata kuanzisha familia.

Ama kweli, majuto ni mjukuuu.
 
Una wasi wasi gani dunia utakufa tu ipo siku ndo ulivyopangiwa wazungu kibao wanazaa na Miata 30 na kitu ishu labda kama mtumishi wa serikali kipato kidogo

Ila kama unazo pesa hata miaka 40 unazaa huduma zipo
 
Una wasi wasi gani dunia utakufa tu ipo siku ndo ulivyopangiwa wazungu kibao wanazaa na Miata 30 na kitu ishu labda kama mtumishi wa serikali kipato kidogo

Ila kama unazo pesa hata miaka 40 unazaa huduma zipo
Mfano hapo ulipo, ungekuwa na kijana wa miaka 21 ambaye mnafanana naye sana ,na wewe una miaka 39, ungekuwa unajisikiaje? huku uchumi ukiwa wa wastani
 
Mfano hapo ulipo, ungekuwa na kijana wa miaka 21 ambaye mnafanana naye sana ,na wewe una miaka 39, ungekuwa unajisikiaje? huku uchumi ukiwa wa wastani
Ingekuwa poa ila vijana anaweza kuwa miaka hyo akawa ni mwizi ,yaani majanga kila kitu ni kushukuru kwa lolote uchumi muhimu

Watoto nao mtihani
 
Kuna mskaji wangu mmoja tuna ushkaji kwa miaka minne sasa nilijua ni age mate wangu juzi nimegundua amenizidi miaka sita nina 30 yeye ana 36 ni baada kushika leseni yake kuna issue alikuwa ananionesha baada ya kushangaa ile miaka pale ndiyo akanielezea zaidi

Huwezi dhania kama ana miaka hiyo kutokana na muonekano wake kama una miaka 36 utamuona kama ni dogo tu na siyo kwamba ana mwili mdogo hapana ukiambiwa umkadirie lazima umuweke kwenye 28 hadi 30 lakini kiukweli humo hayupo

Balaa ni kwamba ana binti wa miaka 19 kwa sasa amemaliza form four mwaka jana ananiambia kuna siku alimbeba kwenye pikipiki akakutana na mshkaji kusalimiana kupiga stori mbilitatu anamuuliza huyu ndiyo shemeji nini ikawa fedhea kidogo

Ananiambia wakati alipokuwa mdogo kama miaka kumi na tatu kumi na nne walikuwa wanaishi tabata jirani kulikuwa na mjengo mkubwa wa mwarabu alikuwa hakai hapo na aliwaamini kuwaachia wafanye usafi na kuangalia mazingira jengo halikuwa limemaliziwa vizuri na kulikuwa na bomba mule alimruhusu auzie watu maji awe anapata chochote

Biashara ya maji ilikuwa kubwa wateja kibao akawa na hela akapanga geto na ndiyo chanzo cha kupatikana huyo binti yake
yeye anasema alikuwa dogo janja tu enzi hizo anasema siku moja mwarabu amekuja akakaa kaa kidogo akaona flow ya watu kununua maji mixer foleni kubwa tu ikabidi arasimishe biashara ya maji awe anamlipa.

Tunaongea hayo mm bado sijawaza kuwa na mtoto.
 
Kuna mskaji wangu mmoja tuna ushkaji kwa miaka minne sasa nilijua ni age mate wangu juzi nimegundua amenizidi miaka sita nina 30 yeye ana 36 ni baada kushika leseni yake kuna issue alikuwa ananionesha baada ya kushangaa ile miaka pale ndiyo akanielezea zaidi

Huwezi dhania kama ana miaka hiyo kutokana na muonekano wake kama una miaka 36 utamuona kama ni dogo tu na siyo kwamba ana mwili mdogo hapana ukiambiwa umkadirie lazima umuweke kwenye 28 hadi 30 lakini kiukweli humo hayupo
Balaa ni kwamba ana binti wa miaka 19 kwa sasa amemaliza form four mwaka jana
ananiambia kuna siku alimbeba kwenye pikipiki akakutana na mshkaji kusalimiana kupiga stori mbilitatu anamuuliza huyu ndiyo shemeji nini ikawa fedhea kidogo

Ananiambia wakati alipokuwa mdogo kama miaka kumi na tatu kumi na nne walikuwa wanaishi tabata jirani kulikuwa na mjengo mkubwa wa mwarabu alikuwa hakai hapo na aliwaamini kuwaachia wafanye usafi na kuangalia mazingira jengo halikuwa limemaliziwa vizuri na kulikuwa na bomba mule alimruhusu auzie watu maji awe anapata chochote

Biashara ya maji ilikuwa kubwa wateja kibao akawa na hela akapanga geto na ndiyo chanzo cha kupatikana huyo binti yake
yeye anasema alikuwa dogo janja tu enzi hizo anasema siku moja mwarabu amekuja akakaa kaa kidogo akaona flow ya watu kununua maji mixer foleni kubwa tu ikabidi arasimishe biashara ya maji awe anamlipa
Tunaongea hayo mm bado sijawaza kuwa na mtoto
Ndo maisha yalivyo hakuna aliyechelewa binafsi Kwa jamii yangu bila ya kuoa niwe na mtoto naona jau kikubwa kuwa na life la uwakika kwanza
 
Back
Top Bottom