Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,109
- 69,561
Ndiyo maana wengine wanasema bata anapopata watoto huwa hajui kuwalea maana wanapotembea mama anatangulia mbele halafu watoto nyuma akija mwewe anabeba kirahisi tu,ona hapo sasa kawapeleka mwenyewe kwenye shimo hatimaye kabaki na mtoto mmoja halafu hao wengine hana uwezo wa kuwatoa. Pole sana bata,