Ama kwa hakika na mlaaniwe wote.

Ama kwa hakika na mlaaniwe wote.

Haya endelea kuwalaani na hawa

t.jpg
 
Kama umeshagegedwa au umeshagegeda leo siku ya Eid na ulaaniwe sana.
Na kama umeweka appointment ya kugegeda au kugegedwa leo siku ya Eid na wewe pia laani isikukuse huko ulipo.
Hii haijalishi wewe ni mtu wa imani gani na dini gani, kwanini ukagegedwe au ugegede leo siku takatifu?
Laana iwapate wate mtakao unganisha vikojoleo leo. PUMBAVU SANA.
Sorry mm si muumini wa kiislam.. yet nakubaliana na ww kuwa si vizur kuzin sikuu.. maana hii siu si ya unzinzi so ni dhambi. Lakin siuala la kuwa kila mtu alaaniwe hizo ni sala za mbuzi wa machinjioni.

Huna ujiran na Mungu kwamba kila mtu alaaniwe. So futa hiyo kauli.
 
Dawa ya nyege ni kuzikemea tu, unajua unatakiwa ujiulize na kujua kuwa mwili wako ni wa thamani kubwa sana, ukiwa mwanamke unatakiwa kujua kabsa kuwa haifai kulala na mwanaume yeyote kabla ya ndoa, na ukiwa ni mwanaume unatakiwa kujua kabsa kuwa hutakiwi kulala na mwanamke kwa namna yeyote ile.
Mimi nakemea hii hali mana bora nikae na sperm zangu tu kuzitoa kwa mwanamke ovyo ovyo ni dhambi kubwa mana huto ni tutoto twangu bora nibaki nato tu. Nikisikia mtu anapga punyeto namshangaa sana,

I love the idea,kupotezea hisia ni jambo rahisi lakini sio mara zote...kuna muda inakuwa ngumu kuzicontrol so inabidi tu kufanya

Halafu sio kama nalala na mwanaume yoyote,nalala na mwanaume niliye katika mahusiano nae tu...ninayempenda
 
Kama umeshagegedwa au umeshagegeda leo siku ya Eid na ulaaniwe sana.
Na kama umeweka appointment ya kugegeda au kugegedwa leo siku ya Eid na wewe pia laani isikukuse huko ulipo.
Hii haijalishi wewe ni mtu wa imani gani na dini gani, kwanini ukagegedwe au ugegede leo siku takatifu?
Laana iwapate wate mtakao unganisha vikojoleo leo. PUMBAVU SANA.
We sema una hasira...uliahidiwa gemu siku ya leo ukazidiwa kete....we kaa ndani ule biriani....acha watu wale raha zao
 
Dawa ya nyege ni kuzikemea tu, unajua unatakiwa ujiulize na kujua kuwa mwili wako ni wa thamani kubwa sana, ukiwa mwanamke unatakiwa kujua kabsa kuwa haifai kulala na mwanaume yeyote kabla ya ndoa, na ukiwa ni mwanaume unatakiwa kujua kabsa kuwa hutakiwi kulala na mwanamke kwa namna yeyote ile.
Mimi nakemea hii hali mana bora nikae na sperm zangu tu kuzitoa kwa mwanamke ovyo ovyo ni dhambi kubwa mana huto ni tutoto twangu bora nibaki nato tu. Nikisikia mtu anapga punyeto namshangaa sana,
nyenge sio poa chief 😂😂
 
Back
Top Bottom