Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,724
- 19,867
Kongosho haya mambo acha tu na yanasumbua sana pale hali inakuwa haieleweki bora uwe umefuma tukio kabisa unaweza ukaamua decision nzuri lakini situation za mauzauza kama hizi zinapasua kichwa haswa ukifanyiwa na mtu unaempenda kwa sana