Am temped...................!!!

Am temped...................!!!

Mmmh we chotara nawe,sakapal...................hizo ndio zangu na hii mid-life crisis yangu utaacha nivae KATA-K na oversize t shirt bure halafu watu wasema huyu mzee vipi ...................wish i could though.
 
kwani wewe ulishawahi kuwa temped na mduara? we mtu wa pwani eeehhh!! unabonyeeee............ kizenj..................

Mduara ndio raha ya mjini...ushawahi kucheza wimbo wa "Majanga" au "Kinyaunyau" weye?
Hatua mbili mbele, moja nyuma...bi mkumbwa akuachia zigo huku nyonga yazungushwa kama pia...
 
Tempted to touch mwisho wake hamu ya limao na embe............
 
Mmmh we chotara nawe,sakapal...................hizo ndio zangu na hii mid-life crisis yangu utaacha nivae KATA-K na oversize t shirt bure halafu watu wasema huyu mzee vipi ...................wish i could though.

Hahahahaaaaaaaaa u made me laugh loooh!!
Chotara mie nnamambo we acha tuu, na mambo yangu ya kichotarachotara tu hahahaa.
Tena ukiwa hivo utakuwa umenipatia maana ntakuwa nadance huku nacheka, napenda sana kucheka na ntaenjoy mnoo.
Karibu riheso bana.
 
venyu ingia pm pls si kila mtu atapenda kujua ni wapi na saa ngapi.

hahaha...mie nilijua hizo info utazituma huko PM
halafu kutakuwa na intavyuu...maana kama ukipata wadau wengi utariheso na yupi na utamwacha yupi?
 
Mduara ndio raha ya mjini...ushawahi kucheza wimbo wa "Majanga" au "Kinyaunyau" weye?
Hatua mbili mbele, moja nyuma...bi mkumbwa akuachia zigo huku nyonga yazungushwa kama pia...

Hahahahaaaaaaa majanga hapana ila kinyau nyau kwa sanaaaaaa, hiyo itakuwa temped next time leo niko ki ragga zaidi
 
Tempted to touch mwisho wake hamu ya limao na embe............

aaah wapi hizo wanapata watoto wa shule, hizi ngoma za kikubwa rafiki, chezea temped weye tena to touch loooh
karibu riheso anyways.
 
hahaha...mie nilijua hizo info utazituma huko PM
halafu kutakuwa na intavyuu...maana kama ukipata wadau wengi utariheso na yupi na utamwacha yupi?

wewe ni pm ndo ntakupa hizo info za venyu na time, sio kila pm inajibiwa nyingine zinaliwa kobisi,
lazima nipembue maana wengine watakuja kufanya riheso ya mnanda wakati mie niko ki tempeted to touch full ragga muffin, so watabakia wachache tuu wakuja kudance kama 3 hv,
 
Mhh! i thought it's a one - one kind of a dance...wakishakuwa wengi zaidi itakuwa ni cheerleading routine sasa

katika hao wa3 ndo atabakia mmoja baada ya kudance na kila mmoja na kuona yupi anaendana na midundo
 
katika hao wa3 ndo atabakia mmoja baada ya kudance na kila mmoja na kuona yupi anaendana na midundo

Mi nataka ya mwenyewe mwenyewe kama ulivyoandika hapa...

ONE LOVE, ONE HEART, LET'S GET TOGETHER N .............................! !
 
Back
Top Bottom