Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Nisaidieni jamani kwani naweza kuwehuka. Ni wiki ya pili sasa tangu nianze field ktk shule moja huku Kilimanjaro. Cku 3 za mwanzo ckuona shida kwani ckupata usumbufu ila kuanzia jtatu nimeanza kusumbuliwa kwani vijana 3 ktk hyo ofc kila mmoja ananitaka. Mmoja ni bursar na mtoto wa owner wa shule, wa pili ni academic na mwingine mwalimu mkuu msaidizi. Kwa kweli nimeshachanganyikiwa kwani kwa ukweli simtaki yeyote hapo cuz still nauguza majeraha ya moyo. Nifanyeje manake field ni mpaka september na wote kwa kiasi wana influence ktk ripoti yangu ya kurudi chuo? Nipeni mawazo jamani manake maisha na elimu yangu iko matatani!!