am i ....normal

pauline

JF-Expert Member
Dec 26, 2010
650
140
....Nimeishi na dada yangu katika kipindi cha mwisho (last semmester) cha ujauzito mpaka alipojifungua mtoto wa kiume...mwenzenu sijui kwa nini,kumuona dada yangu anavyohangaika na mtoto limeniput off kabisaa mimi kuzaaa na kulea!.....jamani sio kazi rahisi especially siku za kwanza,nimeona hata usiku kila baada ya lisaa limoja mtoto alikuwa analia,inabidi ambembeleze ampe maziwa etc HULALI. .....pia kuwa na mtoto kumemzuia kwenda kusocialize kwenda club,parties etc....
...nauliza nyie wamama wa JF how do you balance being a mother,a wife ana may be full time worker........kwa sababu kila nikiangalia mwenzenu naona kama YATANISHINDA,hilo la umama naona kama nitalisacrificE nibaki hivi hivi...LOL
mwenzenu naona U MAMA ni wito kama vile ulivyo upadre LOL,'sio wote 'wanaitwa'! hehehe....kuna wanaowaza kama mimi au???????????????????????

Happy mothers day to all mamas here in JF,some of us understand how much you sacrifice for the sake of your kids...BIG UP TO YOU ALL....
 
You are quite right, those feelings are natural...

Inatokea hivyo ila pamoja na yote the joy that holding your baby brings outweighs everything

Am a full time mother to 3kids and also works full time, initially with ur first child its hard even to focus, but come 2nd and 3rd all panic vanishes...

But ofcourse inabidi mzazi mwenzio naye awe kwenye kupeana mazamu ya kuangalia mtoto usifanye mwenyewe...inachosha sana lakini pia its the most fulfilling thing in the world!
 
Thanks
ushauri wangu Kama hauko tayari na isizae hatutaki kuongeza idadi ya vichanga vilivotupwa na watoto wa mitaani.
 
Ni kawaida kabisa...ila huo ugumu unaouona ukilinganisha na raha utakayopata kumwangalia na kumpakata mwanao mikononi mwako the later wins.Ni vizuri umejua mapema kwamba hutaki /tamani kua na mtoto maana kuna ambao wanagundua baada ya kuzaa alafu wanaishia kutowajali watoto wao!Wengine wanaacha hata vichanga ndani wao wanaenda klabu!!Jua tu nini ni muhimu kwako kabla ya kufanya maamuzi...kama ni kwenda klabu bila kujipa mapumziko hata ya mwaka mmoja tu basi usizae....ila jua huko mbele wakati hata klabuni hakuendeki unaweza kuishia kutamani ungekua binti au kijana wako akwambie mama nakupenda umkose!!!!
 
You are quite right, those feelings are natural...

Inatokea hivyo ila pamoja na yote the joy that holding your baby brings outweighs everything

Am a full time mother to 3kids and also works full time, initially with ur first child its hard even to focus, but come 2nd and 3rd all panic vanishes...

But ofcourse inabidi mzazi mwenzio naye awe kwenye kupeana mazamu ya kuangalia mtoto usifanye mwenyewe...inachosha sana lakini pia its the most fulfilling thing in the world!

good, good, good!!

good to hear that you are a mother of three kids, congratulations!

this piece is very nice!

siku hizi watu wana negative attitude hata na mipango ya Mungu mwenyewe!! halafu wanajiuliza kwanini mateso, kwanini misiba, kwa nini ukimwi, nk

hongera kwa kuwa positive na kuwa jasiri na umama, ubarikiwe sana kwa hilo mpendwa

thank you and God bless you!!
 
Ur time is not yet. Mda ukifika tu utakuwa mama tena mama mzuri.

Happy mothers day
 
You are quite right, those feelings are natural...

Inatokea hivyo ila pamoja na yote the joy that holding your baby brings outweighs everything

Am a full time mother to 3kids and also works full time, initially with ur first child its hard even to focus, but come 2nd and 3rd all panic vanishes...

But ofcourse inabidi mzazi mwenzio naye awe kwenye kupeana mazamu ya kuangalia mtoto usifanye mwenyewe...inachosha sana lakini pia its the most fulfilling thing in the world!

hapo nilipobold naona ndio penye tatizo.....wengi wanalichukulia ni jukumu la mwanamke zaidi,kweli fanya utafiti wa wababa wangapi hata wanajua kubadilisha mtoto pampers,uone utakavyoshangazwa?!
 
there is no effect without a cause,....
ukipenda boga,penda na ua lake,...
kama hupendi mtoto,..(taabu za kutunza mtoto),...chukia naaaaaaa...........
 
good, good, good!!

good to hear that you are a mother of three kids, congratulations!

this piece is very nice!

siku hizi watu wana negative attitude hata na mipango ya Mungu mwenyewe!! halafu wanajiuliza kwanini mateso, kwanini misiba, kwa nini ukimwi, nk

hongera kwa kuwa positive na kuwa jasiri na umama, ubarikiwe sana kwa hilo mpendwa

thank you and God bless you!!

Many thanks Judith!!

Ndio maana namtia moyo kuwa utaona shida mwanzoni and its natural kuona shida maana wanasema kubeba mimba si kazi,,,,,kazi kulea! Sasa mtoto akiwa mlizi, needy and all that u get so exhausted ...ila its a phase inapita na kila anavyozidi kukua so is the smile and love in ur heart...

Many thx miz J and Godbless u too
 
hapo nilipobold naona ndio penye tatizo.....wengi wanalichukulia ni jukumu la mwanamke zaidi,kweli fanya utafiti wa wababa wangapi hata wanajua kubadilisha mtoto pampers,uone utakavyoshangazwa?!
Sio lazima kila kitu kigeuzwe mashindano kwamba mbadilishe wewe alafu ndo na mimi ntabadilisha!!Kama mama hutakiwi kutegea malezi ya mwanao....msaada ukiwepo unafurahi na usipokuwepo unakaza buti kijeshi!!Kila mtu angekua na haya mawazo ya usawa kwenye hili wale ambao baba zao hua wanakufa tangu hawajazaliwa au bado wadogo sana mama zao wasingejishughulisha!!Sababu yako yakutaka au kutokutaka kua mama isitegemee mtu mwingine....fanya yawe maamuzi binafsi!
 
Pauline, how r u?

Ndio maana sio kila mtu anaweza kuwa MAMA,,

Am fine Kaizer,long time huh nimekumiss :hug:

umenifanya nifeel better,siwezi kuwa mama and i dont have to feel guilty about it,lol i wish kila mtu angelielewa hilo wengi wanaexpect at certain age and time wewe kama mwanamke you have to become mama...which is not fair!
 
Sio lazima kila kitu kigeuzwe mashindano kwamba mbadilishe wewe alafu ndo na mimi ntabadilisha!!Kama mama hutakiwi kutegea malezi ya mwanao....msaada ukiwepo unafurahi na usipokuwepo unakaza buti kijeshi!!Kila mtu angekua na haya mawazo ya usawa kwenye hili wale ambao baba zao hua wanakufa tangu hawajazaliwa au bado wadogo sana mama zao wasingejishughulisha!!Sababu yako yakutaka au kutokutaka kua mama isitegemee mtu mwingine....fanya yawe maamuzi binafsi!

Lizzy ni majukumu yetu sote kulea,we have got equal rensponsibility......kwa kweli tuko tofauti,kama swala la kulea nitaachiwa mimi mwenyewe i better not kuzaa,its not easy job as you think is......mie mwenyewe nimeshuhudia......
 
Lizzy ni majukumu yetu sote kulea,we have got equal rensponsibility......kwa kweli tuko tofauti,kama swala la kulea nitaachiwa mimi mwenyewe i better not kuzaa,its not easy job as you think is......mie mwenyewe nimeshuhudia......
Sisemi tu kwakusikia ila hata mimi najua!!Nwy naomba nikuuluze swali...una mwenzako na mmeridhia kua na mtoto kwa makubaliano kwamba mtashirikiana majukumu yote yanayohusu malezi ya mwanenu...wakati bado mjamzito au siku chache baada ya mtoto kuzaliwa mwenzako anatangulizwa mbele ya haki....je utafanyaje???
 
Sisemi tu kwakusikia ila hata mimi najua!!Nwy naomba nikuuluze swali...una mwenzako na mmeridhia kua na mtoto kwa makubaliano kwamba mtashirikiana majukumu yote yanayohusu malezi ya mwanenu...wakati bado mjamzito au siku chache baada ya mtoto kuzaliwa mwenzako anatangulizwa mbele ya haki....je utafanyaje???

hahah lizzy bana,nitagangamala,naona tunaelekea kwenye usingle-mother nisingependa ufike huko bwana:happy::happy:mie naongelea wababa wanaokwepa wajibu wao wa kulea kisa ni wanaume,.....sitagangamala peke yangu aisee nitamconfront na yeye atake part kwenye malezi!lol
 
hapo nilipobold naona ndio penye tatizo.....wengi wanalichukulia ni jukumu la mwanamke zaidi,kweli fanya utafiti wa wababa wangapi hata wanajua kubadilisha mtoto pampers,uone utakavyoshangazwa?!

My dear siku hizi wababa wamebadilika sana maana pia unakuta wote mama na baba wana full time jobs, mara nyingi ukitembelea ma supermarket unaweza kukuta dads with their kids shopping,na mambo mengine, nikiona hayo nafurahi kweli...ila baadhi bado wagumu kuelewa..

Usijali u have normal feelings but nothing beats the love that rushes in ur veins the moment u carry tht bundle of joy! That I guarantee you!!!
 
Jamani pauline zaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,usiogope. Nimeshashuhudia kuna mmama mmoja jirani yetu hapo ilala dar, hakutaka kuzaa ujanani, akashtuka uzeeeni,kila akijaribu kutafuta wapiiiii? Sasa hv yu kama yatima nyumbani kwake,mumewe hashindi nyumbani,anatumia muda mwingi kwa kimada aliye zaa nae. Sasa huyu mama ameishia kuwachukua watoto wa kaka zake tena kwa nguvu ili awalee ila tu wakati shule zinapofungwa, wenye watoto wakija kuwachukua shule zinapofunguliwa anachukia balaa. Paule zaaa nakushauri zaaa haraka shauri yako.yu kama
 
Back
Top Bottom