Am feeling guilty, nafsi inanisuta

Nitumie namba yake DM kaka nitakusaidia hili ni rahisi
 
toa ushauri......ningekua muslim ningeoa wote wawili
Hahahahah hii kauli bana umenikumbusha kaka mmoja hv
Ye mtu wa round moja tu hoiii tena ya dk 2 afu anakuja na statement km hii... nlimchekiii nkasema acha nikustahii nkikwambia ukweli kuwa we ni goigoi unaweza kufa bure hapa..walau alikua anacompensate kwa kutoa pesa ye pesa ukigusa tuu waaa
 
so umemdanga vya kutosha sio[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…