Am angry but I still love you

Am angry but I still love you

Kuachwa kuachwa, kuachwa ni shughuli pevu aaaah mbaya zaidi kwa yule uliyempenda.....

Popote ulipo wimbo huu ukufikie.
 
Kuachwa kuachwa, kuachwa ni shughuli pevu aaaah mbaya zaidi kwa yule uliyempenda.....

Popote ulipo wimbo huu ukufikie.

Bonge la dedication, ukute mwenzie huko alipo hata wazo hana, mapenzi bwana!
 
Hata wazo la kumrudia hana, Ifike kipindi watu wajifunze kukubaliana na ukweli.

Na hiyo ni dawa kubwa, unahold kwa mtu ambae walaa hana wazo alafu unapoteza nafasi ya kupenda the right person ufurahie maisha, matokeo yake watu wa hv ndio anakuja kuoa ilimradi tu, hapo sasa hata raha ya ndoa hamna tena.
 
Umeanza vizur ukamalizia na ABORTION............Mungu atakufikiria labda
 
Kiongozi kama umepata kazi nzuri na binti bado anasoma nini kinakushinda kumrudisha. Mabinti wengi wanapenda mambo ya kizungu. Subiri "birthday" ifike umwandalie "surprise" ya sherehe na zawadi juu. Kama imeshapita hakikisha wewe ndio utaigharamia "graduation" kuanzia nywele, mavazi, viatu na part juu. Mapenzi ni Sanaa acha kulia na akili yote ielekeze kwenye ubunifu.
hahahahahahahahaha nmekuelewa bro..,, umenifurahisha sana., nmeupenda ushauri wako 4 real
 
Asee force mambo yote co mapenz... utakata moto cku c zako... una mambo meng ya kufanya co mapenz..
 
Wahenga walisema asiekupenda achana nae
Ulikuja kwangu nikakupenda kwa moyo wote, kama ni kweli najuta kupenda.....C. Bella
Back to the topic, huyo dem utamrudisha tu kama ana mrengo wa tamaa (si una kazi nzuri naye anasoma) kama tamaa hana harudi kwako ng'o. Utachunwa tu.
Mi nina kazi na nilikua namhudumia vzuri tu, dem mwanafunzi na kanipiga chini. Nasikia anadate na mwanafunz mwenzie. Ila mi nimemaliza masomo a year ago. Labda sijajipanga kwa mapesa mingi kivile, ila naishi mjini sio vibaya. Kanipiga chini kwa madai atagombana na familia yale itakapofika kuoana wakati tuna dini tofauti.
Nami nimeamua kuachana nae, maana hakuna namna nyingine(in Pinda's voice)
 
yaani mi sina hamu na wadada ng kwa sasa mungu kasaidia nina kazi nzuri NITAOA MWANAMKE M'MBAYA YANI SITATAKA KULIZWA NA NDOROBO YEYOTE NA WATAFYONYA SANA NGOJA. NA NTAJITAHDI NIMPENDE XANA
 
yaani mi sina hamu na wadada ng kwa sasa mungu kasaidia nina kazi nzuri NITAOA MWANAMKE M'MBAYA YANI SITATAKA KULIZWA NA NDOROBO YEYOTE NA WATAFYONYA SANA NGOJA. NA NTAJITAHDI NIMPENDE XANA

Hahahaaaaa....Yaaani wewe ndio umeniacha hoi kweli..!!
 
yaani mi sina hamu na wadada ng kwa sasa mungu kasaidia nina kazi nzuri NITAOA MWANAMKE M'MBAYA YANI SITATAKA KULIZWA NA NDOROBO YEYOTE NA WATAFYONYA SANA NGOJA. NA NTAJITAHDI NIMPENDE XANA

wewe wewe wewe baaasi tena.
nimecheka sana ukimwona we mbaya wenzio bado wanatamani.
 
Simanishi kwa ubaya kiroho safi,unamiaka mingapi? huyu mdada ndio mwanamke wako wa kwanza?
 
Kiongozi kama umepata kazi nzuri na binti bado anasoma nini kinakushinda kumrudisha. Mabinti wengi wanapenda mambo ya kizungu. Subiri "birthday" ifike umwandalie "surprise" ya sherehe na zawadi juu. Kama imeshapita hakikisha wewe ndio utaigharamia "graduation" kuanzia nywele, mavazi, viatu na part juu. Mapenzi ni Sanaa acha kulia na akili yote ielekeze kwenye ubunifu.

unaweza fanya hayo yote na bado ukaja kuumia baadae n bora utafute mtu mwngne mwenye mapenz na ww kuliko kulazmisha penz kwa mtu ambae ana mapenz na ww ata akija kukuba ukamuoa maisha yatakua yakaraha tu mpende akupendae asie kupenda achananae
 
Haya mpenzi nimekusikia, hata mimi bado nakukumbuka sana na ni shetani tu ndio alinipitia sikuteleza tu bali nilianguka kabisaaa, ila sasa nimenyanyuka na nitarudi kwako, nakupenda sana

Dedication: mapenzi yanarun dunia by Ally Kiba
atoto umeona pale kwenye paragraph "Nimepata kazi nzuri na ninaishi maisha mazuri" ukirudi patumie vyema.!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom