Am angry but I still love you

Am angry but I still love you

Haya mpenzi nimekusikia, hata mimi bado nakukumbuka sana na ni shetani tu ndio alinipitia sikuteleza tu bali nilianguka kabisaaa, ila sasa nimenyanyuka na nitarudi kwako, nakupenda sana

Dedication: mapenzi yanarun dunia by Ally Kiba
 
Mtanzanyika Ni sawa, lakin vp mwenzio ana hata wazo na wewe au tayari ana mtu en she has 4goten u.... Wakat mwingine let it goo kwan kuendelea kuwaza juu yake wont change things aseee.
 
Last edited by a moderator:
baloz89
Nimekuelewa bro, ntayafanyia kazi mawazo yako.
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi kama umepata kazi nzuri na binti bado anasoma nini kinakushinda kumrudisha. Mabinti wengi wanapenda mambo ya kizungu. Subiri "birthday" ifike umwandalie "surprise" ya sherehe na zawadi juu. Kama imeshapita hakikisha wewe ndio utaigharamia "graduation" kuanzia nywele, mavazi, viatu na part juu. Mapenzi ni Sanaa acha kulia na akili yote ielekeze kwenye ubunifu.
 
Kiongozi kama umepata kazi nzuri na binti bado anasoma nini kinakushinda kumrudisha. Mabinti wengi wanapenda mambo ya kizungu. Subiri "birthday" ifike umwandalie "surprise" ya sherehe na zawadi juu. Kama imeshapita hakikisha wewe ndio utaigharamia "graduation" kuanzia nywele, mavazi, viatu na part juu. Mapenzi ni Sanaa acha kulia na akili yote ielekeze kwenye ubunifu.

hop anekuelewa. muhucka kwanza tambua umezidiwa kete so fanyia kazi mapungufu yako ukifanikiwa kumrejesha hakikisha unajiongeza ackupobyoke. unaweza kuanza mdogo mdogo jifanye tuu unataka muwe marafiki
 
woow! So Romantic..

Umeonaeeeh!!!

Ila mleta mada naomba nikuulize, una umri gani? Alikuwa mpenzi wako wa kwanza? Why ulijiapiza kutokuwa na she mwingine after yeye? Je alkusikia? Jibu kwanza hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom