Am addicted to these types of women!!!!

Hivi wanawake wa kichagga wana wowowo kweli au ndiyo umeamua kuchakachua hii hadithi ya Alfa lelaulela...........wengi wao naona ni pasi tu kama ya mzungu..................western values................

he he he Ruta, real?
 
mkuu c umesema uko addicted sasa hyo coincidence inakujaje.....??? au mm ndo sielewi....mmmh kazi ipo....hlf hv kutembea na wanawake wengi mnaonaga sifaa??
 
Jamani wana JF mimi nina tatizo moja kubwa maishani mwangu kuhusu wanawake na matatizo hayo ni kama ifuatavyo;
  • Kila nikitafuta mwanamke najikuta niko na mchagga, matokeo yake nimejikuta natembea na wanawake wa kichaga kibao
  • Killa mara najikuta ninapendana na wanawake wenye mzigo mkubwa i mean wowowo na maziwa ya nguvu
  • Kila mwanamke ninayekutana naye ananitamkia kuwa anachanganyikiwa na mapenzi ninayompa na wengi wao wananitamkia kuwa anatamani afanye lolote liwalo ili niwe naye, now mimi naogopa asije akanifanyia black chemistry.
Sasa najiuliza "is it just coincidence au kuna explanation nyingine? naomba wenye ufahamu wa mambo haya

Bwana mdogo pole sana kwa kuwa na mawazo mgando hadi muda huu.
Yaani unakuja kujisifia kuwa unatembea na wanawake wengi na wanakulilia! POLE SANA! ni imani yangu kuwa hata bei ya kondomu hujui pakti moja ile ni sh.ngapi! Waonee huruma wazazi na ndugu zako jinsi watakavyo kulilia mara utakapo waachia majonzi kwa upumbavu wako.

huu sio wakati wa kujionyesha kidume kwa kuwa chovya chovya kwa kila kipitacho mbele yako dogo! Kwanini usioe kama unaona ile kitu ni tamu? au baada ya kupitia hizo zote ulizoonja umefaidika kwa lipi hadi sasa? TULIA DOGO, TAMAA MBAYA @Twenty 20%

Cha msingi na cha sekondari, chagua mmoja OA, tungekupa ushauri wa maana kama ungesema una wachumba wawili sasa upo njia panda hujui ufanye nini coz sifa zao zinalingana, sasa wewe unatuletea habari za kujionyesha wewe ni to.mba.to.mba? shame up on you?

au ndo gia unataka dada zetu hapa wakuone wewe unayajua sana sio? HIYO NI TABIA MBAYA NA WALA SIO SIFA!
 
Jamani wana JF mimi nina tatizo moja kubwa maishani mwangu kuhusu wanawake na matatizo hayo ni kama ifuatavyo;
  • Kila nikitafuta mwanamke najikuta niko na mchagga, matokeo yake nimejikuta natembea na wanawake wa kichaga kibao
  • Killa mara najikuta ninapendana na wanawake wenye mzigo mkubwa i mean wowowo na maziwa ya nguvu
  • Kila mwanamke ninayekutana naye ananitamkia kuwa anachanganyikiwa na mapenzi ninayompa na wengi wao wananitamkia kuwa anatamani afanye lolote liwalo ili niwe naye, now mimi naogopa asije akanifanyia black chemistry.
Sasa najiuliza "is it just coincidence au kuna explanation nyingine? naomba wenye ufahamu wa mambo haya

Hakuna explanation nyingine zaidi ya wewe kufanya yafuatayo;
1. Acha uongo
2. Acha gia za kizamani
3. Acha upuuzi
4. Acha kuzoazoa
5. Jifunze kutambua tofauti kati ya kupenda na kutamani
6. Invest akili yako na kwenye mambo ya kimaendeleo pia
 
Jamani wana JF mimi nina tatizo moja kubwa maishani mwangu kuhusu wanawake na matatizo hayo ni kama ifuatavyo;
  • Kila nikitafuta mwanamke najikuta niko na mchagga, matokeo yake nimejikuta natembea na wanawake wa kichaga kibao
  • Killa mara najikuta ninapendana na wanawake wenye mzigo mkubwa i mean wowowo na maziwa ya nguvu
  • Kila mwanamke ninayekutana naye ananitamkia kuwa anachanganyikiwa na mapenzi ninayompa na wengi wao wananitamkia kuwa anatamani afanye lolote liwalo ili niwe naye, now mimi naogopa asije akanifanyia black chemistry.
Sasa najiuliza "is it just coincidence au kuna explanation nyingine? naomba wenye ufahamu wa mambo haya
Wachaga....wachaga! Ur sick dude! Ume2mia jina wachaga kwa vile iko kasumba pipo wanasema hawajui kungonoka sio? Wameshtukiaa! Unajidai uko adicted nao? then why hujaoa hata mmoja? Unajua kupendana manake nini? Au tamaa tu? Ur thread expres how pathetic ur! CHANGE bhana.
 
Jamani wana JF mimi nina tatizo moja kubwa maishani mwangu kuhusu wanawake na matatizo hayo ni kama ifuatavyo;
  • Kila nikitafuta mwanamke najikuta niko na mchagga, matokeo yake nimejikuta natembea na wanawake wa kichaga kibao
  • Killa mara najikuta ninapendana na wanawake wenye mzigo mkubwa i mean wowowo na maziwa ya nguvu
  • Kila mwanamke ninayekutana naye ananitamkia kuwa anachanganyikiwa na mapenzi ninayompa na wengi wao wananitamkia kuwa anatamani afanye lolote liwalo ili niwe naye, now mimi naogopa asije akanifanyia black chemistry.
Sasa najiuliza "is it just coincidence au kuna explanation nyingine? naomba wenye ufahamu wa mambo haya
Hivi wanawake wa kichaga wanataka mapenzi? Mi nilidhani wao ni pesa tu.
 
Wachagga wachagga! Kwa maana ingine unataka kutuambia una pesa za kutosha sio. Acha uhuni kijana, acha uhuni wewe dogo, acha uhuni
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom