hubby ni kiroho safi tu! shaka ondoa, mzima lakini?!"the problem is not me! the problem is you understading me!"
shemeji kwema mtaa huu?? miss u sana khaaaaaaa! hebu kam PM tutete, lol!...Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....
saaaaa hizi ndio akili zinanirudia, lol! khaaaaaa, hili ni balaaa, hubby kwani miandiko ndio ile ile?
Hahahahaha! Wifey bana.... Najua kusoma hujui lakini picha nayo unaigeuza juu chini?saaaaa hizi ndio akili zinanirudia, lol! khaaaaaa, hili ni balaaa, hubby kwani miandiko ndio ile ile?
Karibu Virgin Girl oi Kumbe mimi ndie Wa Kwanza kukukaribisha !
ha ha ha ha,we ndo wa kwanza kum........................ virgin girl,un bahati weye
Nimejikuta natamani kukufahamu zaidiMe mgeni,nipokeeni.