Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Alphonce Temba, aliyekuwa mtia nia ya Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia CCM, amesema moja ya mipango yake mikuu kama angepata nafasi, ilikuwa ni kurejesha mabasi yote ya mikoani kwenye Stendi ya Magufuli, Mbezi.
Anasema mpango huo ulikuwa ni kupunguza msongamano katikati ya jiji.
Anasema mpango huo ulikuwa ni kupunguza msongamano katikati ya jiji.