Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita kamanda Alphonce Mawazo amemvaa jambazi ambaye kila tuhuma ya wizi yupo na mbaya zaidi hujisifia kwa uwizi wake huo kwa kusema ni vijisent mara anamake geza ya nyoka hivyo huchungulia dili la pesa popote lilipo muda anaipata baada mwenyekiti wa Geita kumfata katika uwanja wa Halmashauri...
muda huu wajumbe mbalimbali wanatema cheche kabla ya mkutano kuanza Chopa inayotumiwa na Mwenyekiti huyo ilizuiliwa kutua bariadi licha ya kuwa na vibali vyote...
Mungu Ibariki Chadema...
muda huu wajumbe mbalimbali wanatema cheche kabla ya mkutano kuanza Chopa inayotumiwa na Mwenyekiti huyo ilizuiliwa kutua bariadi licha ya kuwa na vibali vyote...
Mungu Ibariki Chadema...