and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,161
- 39,566
Nyumbu ifufuliwe tumechoka kutumia magari toka kwa Mabeberu
Kwenye uzi wa magari mambo ya lumumba yametoka wapi?,au ndio kuishiwa huko?Labda utafiti huo umefanyikia Lumumba we nyumbu.
Hujui lumumba street ni maarufu kwa kitu gani kuhusiana na magari?Kwenye uzi wa magari mambo ya lumumba yametoka wapi?,au ndio kuishiwa huko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya Asad,Mangufuli,Ndungai,sijui Alshabab yanahusikaje wewe binti?Unajua kuna watu hawana akili, mfano unakuta mtu anamshabikia asadi mvunja kanuni na taratibu, mara mtu analeta mada kusema msikiti umevunjwa kumbe ujenzi umesitishwa etc watu ka hao ni bora wawe pimb
Huyu Mnyama nakubali Sana, ngoja niendelee kuzichanga, kwa Mishe za Majini itanifaa Sana kwa furaha ya moto gari kama nyumba vileHiyo hapo nilipiga picha hapo maeneo ya Mnazi mmoja(Pugu Road).Hizi gari zipo sana mitaa ya posta especially maeneo yenye Bureau de change...View attachment 983820
#Muungwana_John
Sisi Tunanunua hizi za 2003 hadi 2006..mbona alphard ya 2018 ni 200m??