Ripota Netchi Lyimo mjukuu wa Mchungaji jamaa alikuwa mbali sana kwenye fani yake sijui nini kimemrudisha nyuma hivi.
Namwona hapa Moshi aka mji wa wagumu anavyopigika na maisha.
ina maana siku hizi siyo mwandishi wa habari tena? anapigikaje wakati mke wake anafanya kazi Sauti ya Injili
Kwa kipaji alichonacho na uzoefu wake alistahili kuendelea kuwepo katika international level na si kukaa pale Bamboo bar akiokoteza vihabari uchwara vya Mambo Mseto.....