Decision 0 ndio kitu gani?Alifeli ana decision 0 hawezi kuongoza TFF..msituletee mambo ya abajalo Sinza Hapa.tff ni kitu kikubwa.
Mkuu, mtoa mada yupo kazini, hafu hajui hata namna ya kuwasilisha mada...watu wapuuzi sanaa, jitu linakwambia mkibisha analeta mengine hahahaahah dunia itoe tuzo kuna watu wana vipaji vya kuchukia, yaani kuna watu hata uwajui ila wanakuchukia hatari.
sio kwamba yeye ni mjinga ,asinge chukua form. Jielewe dadaAli atoe vyeti tuone ..cheti hana nawajua kwao vizuri
Kwanini wahaya tu...?Wahaya tuungane kwa hili jambo.
Mkuu umeanza lini haya mavitu au kuna mtu anatumia id yakoTumeanza na hiyo tutaendelea kudonyoa donyoa kadiri muda utavyoruhusu
Unamaanisha nini kuwataja wahaya?Wewe umetumwa sio bure.Unaingiza mambo ya ukabila kwenye mambo ya msingi ili umuharibie Malinzi.Wahaya tuungane kwa hili jambo.
Pu.mbavu kabisa,yaani kuna uhusiano gani wa mtu kupata zero na kuongoza mpira?Hiyo zero aliipata kwenye mazingira gani?Zero ya Six unaweza tu kuipata na haimaanishi huna akili!Unless ukiwa na zero upstairs ndipo utashindwa kujua hili.Kampeni dhaifu kabisa hii,na utakuwa umelenga wapu.mbavu wenzioNikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..
Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??
Mkibisha hii naleta jingine.
Vya Bashite uliviona?Weka vyeti tuone
0+0=BashiteSasa ni muda TFF kuongozwa na Ally Mayai Tembele
Amefanya kazi gani labda?Alipata zero...so whaat? Haituhusu sisi..maana tunachoangalia sio matokeo ya mwisho wa masomo..tunaangalia matokeo ya kila siku ya kazi zake....na kwasababu hiyo yeye ndio mgombea mshindi wetu....