Ally Mayai Tembele alipata division 0 form 6 au form 4

Ally Mayai Tembele alipata division 0 form 6 au form 4

Mi nadhani waliopata ziro ndo wanakuaga viongoz bora. Hongera mayai..uliweza kujiongeza kutoka ziro had ss hiv ni msomi wa shahada inaonesha unauwezo kuutoa mpira wetu kwenye ziro na kufufikisha juu. Mimi kama mjumbe wa tff nitakupa kura yangu. Nawaomba wajumbe wenzangu haswa wa kagera na mikoa yote ya kanda ya ziwa tuweke tff mbele kwa manufaa ya nchi yetu. Vihela tuvihukue lakn kura zote kwa kizaz kipya tena cha mpira. Mayai yuko vizuri hata ukisikia uchambuz wake kwenye tv anaweza kutusaidia.
 
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
Makongo alipata division 'zero' form six
 
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
Hao waliopata 1 za 3, na 7. Hao maprofesa wamelitendea nini Taifa hili zaidi ya kuliharibu. Hao wasomi unaowataka ndiyo sababu Msukuma anawatukana kila siku, hivyo tu kuvimbisha matumbo.
 
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
Kwani Hao waliofaulu form 4, form 6 hadi kupata digrii wamefanya nini?zaidi ya ufisadi,kufungia wenzao na kuwanyima watu haki zao.
 
Nachoshangaa utopolo wanaompigia debe walimkataa kugombea uongozi mara ya pili baada ya kujiuzulu ujumbe wa kamati ya utendaji.
 
Nikimjua vizuri yeye Ali..kwa maana tukiishi jirani kabisa..na mama yake mzazi Ali pale Dodoma kuna sehem alipata 0..kama sio form 4 basi 6..

Yeya alikuwa akisomea secondary dar es salaam.. Makongo sijui makongo..sasa ataweza kweli kuongoza TFF??

Mkibisha hii naleta jingine.
Ali mayai tembele alisoma ununio Islamic seminary.
Alipata sifur A LEVEL
Akaenda kusoma CBE Kwa matokeo ya O LEVEL na kujiendeleza zaidi
Sasa ana masters ya BUSINESS ADMINISTRATION toka mzumbe
 
Back
Top Bottom