Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,777
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo chama hicho kimedhamiria kujenga treni katikati ya miji kwa mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma, ili kukabiliana na foleni za magari.
"Naomba nichombeze, tumejenga SGR Dar es Salaam kupitia ilani ya miaka mitano iliyopita, inayokuja tunajenga treni za mjini (Metro) Dar es Salaam na Dodoma kukabiliana na foleni. Watu watatoka Tegeta, Kivule, Gongo la Mboto n.k watatembea na treni za mjini Dar es Salaam," amesema Hapi
Ameyasema hayo leo Juni 5, 2025, wakati akichangia mada katika Kipindi cha Mada Kuu cha TBC1.
"Naomba nichombeze, tumejenga SGR Dar es Salaam kupitia ilani ya miaka mitano iliyopita, inayokuja tunajenga treni za mjini (Metro) Dar es Salaam na Dodoma kukabiliana na foleni. Watu watatoka Tegeta, Kivule, Gongo la Mboto n.k watatembea na treni za mjini Dar es Salaam," amesema Hapi
Ameyasema hayo leo Juni 5, 2025, wakati akichangia mada katika Kipindi cha Mada Kuu cha TBC1.