Ally Hapi DC Kinondoni anafaa kumrithi Kinana

Ally Hapi DC Kinondoni anafaa kumrithi Kinana

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,080
Reaction score
12,300
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.
 
Atakaerithi atakuwa mmoja katika waanzilishi wa Tanu yaani kama wanarithishana mikoba kutoka kwa bibi
 
Pendekeza na Makonda arithishwe uenyekiti wa chama ili mapendekezo yako yatimie!
 
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.
Katibu wa chama hatakiwi mtu mwenye siasa kama wa dizaini hizo
 
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.
Bila shaka wewe ni girl friend wake au mke wake au nyumba ndogo!
 
Macho Mdiliko, unaonaje ukileta hoja za maana badala ya kebehi,
 
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.
Hapii DC wa Kinondoni kumrithi Kinana!?You are joking.He lacks the political experience,charisma,
stature,and flamboyancy necessary for such a high profile political post.Asubiri kwanza.
 
Zamani nilipokuwa mtoto nilikuwa siwezi kufananisha watu kwa sura. Naona tatizo langu la utotoni linakutafuna.
 
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.
Sio dhambi kuota mchana
 
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.

Hivi hizi Bange / Bangi huwa ' mnazihakiki ' vizuri kama huwa zinafaa kwa matumizi ya Binadamu kwa nyakati kama hizi?
 
Kama kweli Unaijua siasa ya CCM basi huwezi kaa ukawaza na kupendelea hivi.
Kwa afya ya Chama na Taifa lazima ateuliwe mtu wa kariba ile ile ya Mzee Kinana kama ilivyokuwa mtangulizi wake P.Mangula
Aliyebakia na kariba hiyo na mwenye high profile ndani ya CCM ni M.Pinda pekee
 
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.

Daaah nimetaka kucheka lakini huzuni imenitawala kwa mawazo yako mkuu, hivi kweli comrade kinana wakumfananisha na Bwana Hapi .....sema unatania mkuu.
 
Back
Top Bottom