evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,970
- 9,901
Kwa jinsi mwenyekiti anavyopenda wasomi nahisi huyo mrithi atakuwa msomi wa ngazi ya PhD.
Sitashangaa kusikia mtu anatolewa chuo kikuu alipokuwa anafundisha na kupewa hicho cheo,
Na jinsi tulivyo na wasomi njaa lazima atakubali tu
Ila ingekuwa mapendekezo yangu ningempendekeza Mhe Mwigulu kuchukua hiyo nafasi.
Sitashangaa kusikia mtu anatolewa chuo kikuu alipokuwa anafundisha na kupewa hicho cheo,
Na jinsi tulivyo na wasomi njaa lazima atakubali tu
Ila ingekuwa mapendekezo yangu ningempendekeza Mhe Mwigulu kuchukua hiyo nafasi.
.....sema unatania mkuu.