Ally Hapi DC Kinondoni anafaa kumrithi Kinana

Ally Hapi DC Kinondoni anafaa kumrithi Kinana

Kwa jinsi mwenyekiti anavyopenda wasomi nahisi huyo mrithi atakuwa msomi wa ngazi ya PhD.
Sitashangaa kusikia mtu anatolewa chuo kikuu alipokuwa anafundisha na kupewa hicho cheo,
Na jinsi tulivyo na wasomi njaa lazima atakubali tu

Ila ingekuwa mapendekezo yangu ningempendekeza Mhe Mwigulu kuchukua hiyo nafasi.
 
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.

Aya, sasa dau anakupa mda huu au mpaka apewe cheo? mmekubalianaje naye?
 
Kwakuwa vijana ndio wenye njaa kali na wasio na msimamo katika kile wanachoamini basi atamfaa bwana yule.
 
ni kweli, chama kilipofikia kinamwitaji mtu kama Makonda akinyooshe.
 
Hii
Kutokana na kutangazwa kustaafu kwa komredi Kinana napendekeza mtu wa kumrithi awe kijana chini ya miaka arobaini ili kuweza kuandaa viongozi watakao kiongoza chama mbeleni.

Binafsi napendekeza Ally Hapi DC wa Kinondoni amrithi mzee Kinana huyu kijana ni mchapakazi na hana makandokando na mcha Mungu.

Pili ameonyesha ukomavu wa kisiasa pamoja na kupewa kuongoza wilaya yenye changamoto nyingi.
Anafaa zaidi Prof.Kitila Mkumbo,- young, visionary, talented, matured, experienced with multiparty politics, and above all he is neutral person
 
Back
Top Bottom