mnoga anakula unga ??ukimuona Mnoga utalia unga mbaya jamani acha tu
usela umemzidi yulemnoga anakula unga ??
Hio chain yote wamekuchapa kavukavu??Nikifa mimi, wewe utakufa, wa Arusha atakufa, yule rafiki yako wa polisi Mwinjuma atakufa, yule rafiki yako wa Hananasif mume wa mzungu pia atakufa, yule shemeji yako wa kiume pale Nyamala nae atakufa.
So usicheke.
Omba tu Mungu.
Chain ndefu sana tumeitengeneza.