Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Tokea tukio hilo ndipo nilipoamini kwambabaadhi ya wasanii wanatumia ndumba kutuchota tuwapende na wavume,alikuwa juu sana mpaka mganga yule alipojitokeza na kudai kudhulumiwa na muumin na kuhaidi atamfelisha,na kweli mambo ya muumini kuanzia pale yalienda kombo mpaka leo akapotea jumla.
Kwa hiyo ndugu unataka kusema kuwa ndumba aka tunguli ni ril kabisa?
 
Njoo mtongani kwenye banda la chai la makuti kwa mama wawili saa 2 asubuhi utamkuta .
Duuu. Nakuja..nimchukue hata selfie na. Nimnunulie chai chapati na maini ya kukaanga kubadilisha bekifasti! Hivi kwa kutokea kariakoo nafikaje huko kwa dala×2
 
Hivi hili neno 'kamarade' lina maana gani?

Alifanananishwa na Werrason Ngiama Makanda wa Wenge Musica kwa kupenda kutumia vifaa vizito kuingia ukumbini.

Kuna siku aliwasili ukumbi wa DIamond Jubelee akiwa ndani ya kijiko au bulldozer.

Pia kuna wakti alikuwa akiwasili akiwa ndani ya gari ya wagonjwa au ambulance.

Hivyo watu hivyo wakampa hilo la Le kamarade.
 
Kwa mimi kua na amani tu, nko fit.
Labda wengine uliopita nao.
Nikifa mimi, wewe utakufa, wa Arusha atakufa, yule rafiki yako wa polisi Mwinjuma atakufa, yule rafiki yako wa Hananasif mume wa mzungu pia atakufa, yule shemeji yako wa kiume pale Nyamala nae atakufa.
So usicheke.
Omba tu Mungu.
Chain ndefu sana tumeitengeneza.
Hahahaaaaaa Si mchezo :cool::cool::cool::cool::cool:.
 
Back
Top Bottom