Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,948
- 32,200
Yah.Hivi Kweli Madame ume_bang na Mzee wa Man's not Hot aka Super man baller au Changamsha Genge?
Nimedate nae
Sema....sio kihivyooooo......!!!!!
Yah.Hivi Kweli Madame ume_bang na Mzee wa Man's not Hot aka Super man baller au Changamsha Genge?
Yule aliyeimba Kikulacho ndiyo inasemekana walizaa naeDiana Aston Villa,alisema wengi watamfuata
Tushukuru MUNGU ARV zipo ,Mr Nice ukimuona yaani wala hujiulizi mara mbili mbili?Yule aliyeimba Kikulacho ndiyo inasemekana walizaa nae
Wakuu NGOMA HAINA MWENYEWE,,,, usijione SHUJAA KUKOSA NGOMA,,,na USIMUONE MJINGA ALIYEPATA NGOMA,,,kikubwa ni KUSHUKURU MUNGU,,,,WENGI wetu TUMEOA,,au WAPO WALIOOLEWA,,je UNAJUWA ANACHOKIFANYA MWENZIO UKIWA MBALI NAE? tena natoa USHAHIDI ,,,HAKUNA MWANAMKE mwepesi kumtafuna kama mke wa MTU,,,JE TUTAPONA KWELI?, tuwe na SITARA KWA WAATHIRIKA WAKUU,,,
Genye si kitu cha mchezo mkuu...kama ulivyosema labda hanithi or demu awe hana K
Hilo ndo la muhimu....condom ni maisha ukicheza pale umekwisha!Na ukiendekeza nayo inaweza kukupeleka pabaya..halafu utakuta mtu mwingine anapenda sana ila kutumia japo kinga tunayoiamini hataki.
.Kwa yale mauno ya diana hata mm ningepiga mbichi simlaumu mzee wa farasi hata kidogo
Shauri yenuNgoja utaona ule uzi wa orodha unafufuliwa
Mi wala simo mkuuShauri yenu
Hao hao waambie wakapime usikie majibu utashangaaSijui kwanini only in Tz mtu akiumwa cha kwanza watu huwaza ni 'Ngoma'.... ajabu wengine hufurahi kabisa na 'nilijua' kibaoooo.
Ni ukosefu wa elimu au chuki iliyopitiliza?
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
Shauri yakoNi kweli unachosema mkuu ila kwa huyu hapana, Jifunze kuwa sio kila kitu ni chuki hawa wasanii ni kama raia wengine tunaishi nao na tunawaona , Mzee wa farasi enzi zake alikuwa moto wa kuotea mbaliiii.
Banza Stone, Msafiri Diof, Adolf Mbinga, Fergerson Hii timu ilikuwa balaa sana enzi hizo.
LISEMWALO LIPO.
Ohoooooooo !!!! sasa akapime nini tena jamani ?
Anaweza kuwa Franco Luambo Makiadi "SIDA" Ilimkata Franco 1989 mwanzoni na kumuondoa mwishoni, na ulikuja Africa 1985Kuna swali nimeulizwa hapa sasa hivi na Mpwa wangu kuwa UKIMWI / DALLY KIMOKO uligundulika lini duniani na ni Mwafrika gani wa Kwanza kutoka Afrika ya Mashariki aligundulika nao nimeshindwa kumjibu na ili ' Kumzuga ' nimejifanya nimetoka nje naongea na Simu kumbe sijui jibu lake na bado amekaa Sebuleni ananisubiria nimpe jibu kwani anasema hilo Swali anahisi Kesho litakuwepo katika Mtihani wao wa Kumaliza darasa la Saba. Naombeni msaada jamani ili nisiumbuke!
Hii list naona wamebaki watatu ukifatilia wote ni kaugonjwa kalekale marehemu Diana aliutabiri.
Kabaki Stive nyerere, Lilian internet , Mr nice , choki ndio Huyo mgonjwa . banza, semhando , Aisha madinda, Diana wote washatangulia.kabaki nani na nani hapo mkuu, hapo waliokufa ni nani na nani?
Kabaki Stive nyerere, Lilian internet , Mr nice , choki ndio Huyo mgonjwa . banza, semhando , Aisha madinda, Diana wote washatangulia.
Ndo hapo sasa ukizingatia Asha Baraka amefanya kazi miaka kibao na Choki so anamjua fika.Ohoooooooo !!!! sasa akapime nini tena jamani ?
aisee !!!Kabaki Stive nyerere, Lilian internet , Mr nice , choki ndio Huyo mgonjwa . banza, semhando , Aisha madinda, Diana wote washatangulia.