Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,184
- 2,471
Njaa inamusumbua. Mtemi Hangaya amemwahidi kibarua.Ha ha ha haaaaa
Abaki alipo kwasababu wauaji wapo nae huko huko.
Njaa inamusumbua. Mtemi Hangaya amemwahidi kibarua.Ha ha ha haaaaa
Abaki alipo kwasababu wauaji wapo nae huko huko.
Ubora wa kitu au mtu unategemeana na mapokeo na uhitaji ya mtu mradi hajavunja sheria
Kitu kinaweza kisiwe bora kwako lakini kikawa bora kwa mwingine.
Kwa hiyo unavyoona mwingine hajui maana ya ubora na yeye anakuona hivyohivyo kwamba hujui maana
Tuvumiliane tuu hamna namna
Ndiyo keshaoneshwa bila shaka!! Hiyo ndo ilikuwa bei yake ya kumnunua tena ccm!!Labda ameshaonyeshwa...kazi sana
Inakuwa ameshaoneshwa eti ehee?@Binamu Bananga amesema yupo tayari kurudi (CCM) ikiwa viongozi wa chama hicho ambao wanataka kumnunua ikiwa watamuonyesha watu waliowatuma kumuua Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo.
SawaNa siku akipanda jukwaa la kijani uje uteletee hizi pumba tena!
Ananjaa + kulishwa na mkewake yeye kazi yale ulevi kwahiyo mke kamwambia ajiongeze"NJAAA NJAAA ,WATU WANA NJAAA" - Hashimu Rungwe.
"Mungu haweki Agano na masikini,mwenye njaa haaminiki anachange anytime" - Askofu Maboya.
Aisee!!!Alishaonyeshwa muuaji wa Alphonsi.
Teuzi yenyewe aliyetegemea naona hapati hukoNjaa imemrudisha Ccm kabla hajaonyeshwa