Ally Bananga aachiwa huru

Ally Bananga aachiwa huru

Naona tabia za bananga zimeanza kustukiwa sasa atafungwa kwa uhalifu wange siku zote za mwizi ni arobaini naona zake sasa zinafika tutamsahau tu.
 
Hawa kina Mchange na Mwigulu wanawadanganya tu hao wazee wa CCM waliojichokea kwamba wataiuw CDM kitu ambacho ni ndoto.
Ukitaka kuimaliza CDM fuata misingi ya utawala bora na itekelezwe kweeli CDM itakuwa haina madhara otherwise CCM bye bye.
Wewe mbona umejichongea hujisemi uzee wote huo bado katibu wa bawacha wa shina.
 
vita ya maCCM dhidi ya CHADEMA kwa kuwatumia poliCCM haitafua dafu!
 
Ngoma inogile........ cdm ndo habar ya mjini.
 
Back
Top Bottom