Kicheba One
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 399
- 194
Kamanda Ally Bananga ameachiwa huru, shukrani kwa katibu wa CHADEMA mkoa ndugu Jonathan Baweje na katibu wa CHADEMA wilaya Muheza ndugu Lukindo Mohamed wakishirikiana na makamanda wengine.
Hongera kwa makanda wote walio shiriki kumtoa kamanda Bananga ambae ana asili ya Korogwe.
Hongera kwa makanda wote walio shiriki kumtoa kamanda Bananga ambae ana asili ya Korogwe.