secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 22,459
- 46,871
Msimamo wangu ni ule ule 😎.Hadi leo?
Msimamo wangu ni ule ule 😎.Hadi leo?
HahahaMsimamo wangu ni ule ule 😎.
John Okello, yule aliyepanga mapinduzi ya Zanzibar anauwezo mkubwa wa kucheza Mpira kumzidi dogo Alan Okello.Hahaha
Yule si anazidiwa na Wazanzibari kina fei totoJohn Okello, yule aliyepanga mapinduzi ya Zanzibar anauwezo mkubwa wa kucheza Mpira kumzidi dogo Alan Okello.
Mbona Aziz Ki alisha feli mda tu, hadi mnataka kumrudisha tena. LolWewe meja wa mchongo Meja Jenerali Isamuhyo huyu dogo anaweza kukufanya ukawa mwasibu version 2.0 hapa JF.
Mwenzio hasibu la mchongo Kipenzi Changu aliukimbia uzi wake wa Aziz Ki.
Mbona nyie mmemrudisha kibabu chama, kafeli?Mbona Aziz Ki alisha feli mda tu, hadi mnataka kumrudisha tena. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] ko mnaiga? WoiiihMbona nyie mmemrudisha kibabu chama, kafeli?
.........Uko sahihi kabisa, kama Chama alivyorudishwa.Mbona Aziz Ki alisha feli mda tu, hadi mnataka kumrudisha tena. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiwoooo, [emoji23][emoji23][emoji23].........Uko sahihi kabisa, kama Chama alivyorudishwa.
Yule ni balaa sana. Sema wewe hukumwona akiwa anasakata kabumbu.Yule si anazidiwa na Wazanzibari kina fei toto
Mpka sasa Mama kasha julikanaSawa mama la mama
Mambo yako ya Kibu Denis na MayeleKweli, Apewe muda ajifunze kucheza mpira
Kabisa yaani ndugu yangu tena huu ni mchanganyiko wa visungura na ile pombe inaitwa Dadii.