Allan Okello ni Geofrey Mwashiuya wa Uganda

Allan Okello ni Geofrey Mwashiuya wa Uganda

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,132
Reaction score
9,687
Tukubaliane kutokukubaliana, huyu jamaa wakuitwa Okello hana tofauti yoyote na Geofrey Bahati Mwashiuya.

Hype kubwa nje ya uwanja thenn uwezo mdogo ndani ya uwanja.

Mimi nilishangaa mchezaji mwenye uwezo aje kucheza Tanzania badala ya kwenda hata South Africa huko.
 
Tukubaliane kutokukubaliana, huyu jamaa wakuitwa Okello hana tofauti yoyote na Geofrey Bahati Mwashiuya.

Hype kubwa nje ya uwanja thenn uwezo mdogo ndani ya uwanja.

Mimi nilishangaa mchezaji mwenye uwezo aje kucheza Tanzania badala ya kwenda hata South Africa huko.
Napigilia msumari hoja yako. Dogo ukimweka na loose Nut namchukua loose Nut.
 
Tukubaliane kutokukubaliana, huyu jamaa wakuitwa Okello hana tofauti yoyote na Geofrey Bahati Mwashiuya.

Hype kubwa nje ya uwanja thenn uwezo mdogo ndani ya uwanja.

Mimi nilishangaa mchezaji mwenye uwezo aje kucheza Tanzania badala ya kwenda hata South Africa huko.
😂😂😂😂😂😂
 
Tukubaliane kutokukubaliana, huyu jamaa wakuitwa Okello hana tofauti yoyote na Geofrey Bahati Mwashiuya.

Hype kubwa nje ya uwanja thenn uwezo mdogo ndani ya uwanja.

Mimi nilishangaa mchezaji mwenye uwezo aje kucheza Tanzania badala ya kwenda hata South Africa huko.
Unasumbuliwa na wivu
 
Bado mapema. Kwanza ni mgeni. Tumpe muda
 
Tangu Siku ya kwanza kumtazama akicheza tu nilitamka maneno kama haya ya kwako

Mchezaji mpira mwenye talent ana julikana tu the way anavyo upokea mpira anavyo control anavyo dribble ana mikimbio yake

Yule dogo ni wakawaida sana
 
Tukubaliane kutokukubaliana, huyu jamaa wakuitwa Okello hana tofauti yoyote na Geofrey Bahati Mwashiuya.

Hype kubwa nje ya uwanja thenn uwezo mdogo ndani ya uwanja.

Mimi nilishangaa mchezaji mwenye uwezo aje kucheza Tanzania badala ya kwenda hata South Africa huko.
Sawa mama la mama
Wewe kalia majungu umri unaenda, ushamba wako unadhani mtu kufanya kazi nje lazima awe exceptional,
Sawa mama la mama
 
Back
Top Bottom