Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,132
- 9,687
Tukubaliane kutokukubaliana, huyu jamaa wakuitwa Okello hana tofauti yoyote na Geofrey Bahati Mwashiuya.
Hype kubwa nje ya uwanja thenn uwezo mdogo ndani ya uwanja.
Mimi nilishangaa mchezaji mwenye uwezo aje kucheza Tanzania badala ya kwenda hata South Africa huko.
Hype kubwa nje ya uwanja thenn uwezo mdogo ndani ya uwanja.
Mimi nilishangaa mchezaji mwenye uwezo aje kucheza Tanzania badala ya kwenda hata South Africa huko.