Allah ni zaidi ya sayansi, watu wawili umeokolewa baada ya siku 13

Get me right mkuu Allah anaweza kuua generation nzima wewe unaongelea watu 46000 tu, yeye ndo mwenye sabb kwanini alitaka wafe hao, na vile vile akaonyesha kwamba anaweza akanusuru binaadamu wawili baada ya siku 13, hapo kuna la kujifunza, tetemeko lililetwa na Allah kwa sekunde 45 watu 46000 walipoteza maisha ila kwa siku 13 akaponya wawili sie tunasema allahamudullah tu.
Kumbe tetemeko limeletwa ,vitoto vichanga vimekufa kwa sababu ya tetemeko lililoletwa na Allah kwa makusudi ,shenzi
 
Wanaume wawili wameokolewa nchini Uturiki wakiwa bado wana uhai baada ya siku 13 kupita tangu tetemeko la ardhi kupita nchini mwao, wakati wana sayansi wanatuambia kwamba binaadamu hawezi kuishi baada ya siku 5 mwanaume na siku 7 mwanamke, kwasababu eti mwili wa binaadamu kuhitaji maji na chakula ilikuwa hai, kwa kilichogundulika nchini Uturuki sayansi imekuwa proved wrong.

Jamani amini Allah ndo anaetoa uhai wa binaadamu na ndo anaeuchukua.View attachment 2525457
Pale pa jua kuzama matopeni tu, mhhh
 
Allah angekuwapo, kusingekuwa na tetemeko na watu 46,000 wasingekufa.

Unashangilia vipi watu wawili kuokolewa wakati watu 46,000 wamekufa na kitu ndiyo kwanza kinapiga upya huko Syria?

Watu 46,000 wamekufa, na idadi ya waliofariki inazidi kupanda siku hadi siku.

Wewe unashangilia Allah kaokoa watu wawili?
Ila kijana kilaza sana, hata huu mtindo wako wa kuhoji wa kitoto sana, matumizi ya "nge" yanaonyesha kutokuweza kuthibitisha juu ya hicho unachokidai. Lini utakuwa kijana kiakili na uhojaji ?

Kipi kimekujulisha kinyume chake pangekuwa hapana haya majanga ?

Anasema Allah aliye juu :

58. Na hapana mji wowote ila Sisi tutauteketeza kabla ya Siku ya Kiyama, au tutaupa adhabu kali. Haya yamekwisha andikwa katika Kitabu.

59. Na hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza ila ni kuwa watu wa zamani waliikanusha. Na tuliwapa Wathamudi ngamia jike kuwa ni Ishara iliyo dhaahiri, lakini walidhulumu kwaye. Nasi hatupeleki Ishara ila kwa ajili ya kuhadharisha. (al-Israa : 58-59)

Kwahiyo katika Ishara zinazo onyesha uwepo wa Allah ni haya majanga.

Haya yanayotokea hayatokei bahati mbaya kijana, Allah amefanya yatokee na Kuna sababu zinazopelekea haya yatokea aidha adhabu, kutukumbusha uwepo wake na kutukhofisha. Sasa wenye akili wakiona matukio haya wanafikiria kiundani kuliko kufikiria kitoto kama ufanyavyo wewe.
 
Kwenye uzi wako, umesema Allah ndie anaetoa uhai, na ndie mwenye uwezo wa kuuchukua. Hapo unakaribisha maswali ya Atheists ambao wanakuuliza, Allah alikua wapi wakati tetemeko linaua watu 46,000 mpaka leo tuje kumsifia kuokoa watu wawili?
Hao Atheist hawana maswali magumu wala hawatokuja kuwa nayoz sababu wanamjadili Allah ambaye hawamjui, kwahiyo wanakosea. Allah ndiyo ameruhusu hayo yatokee kama nilivyo weka aya toka kwenye Qur'aan surat Al-Israa aya ya 58 mpaka 59.

Kwahiyo ni watu ambao hawana maswali ya maana wala hoja zenye nguvu, ni weupe mno. Hawa watapata shida sana sababu wanampinga Mola ambaye hawamjui.
 
hatari sana, yaani kaua watu 46000 halafu kuna maelfu kawaacha na vilema halafu mnasema ana upendo?? Dah, hili neno upendo tunahitaji kuli define upya aisee.
Kwani maana ya upendo ni nini?

Ninaweza nikawa napenda wanyama/ndege wa kufugwa mfn kuku,ng'ombe n.k wanazaliana tuu wanakua wengi lkn nikawa siwatumii kabisa kama kitoweo

Mwingine anaweza akawa na upendo huo huo kwa wanyama lkn lengo lake likawa ni kwa ajili ya kitoweo.

Upendo wa Mungu kwetu unaweza ukawa ni either sides, kama sisi tunaoamini kifo ndo njia pekee ya kwenda kwake basi vifo vya watu 46k ni upendo wake kwetu.

Kuhusu hao ambao wamekaa siku 13+ wakawa ni wazima labda hawajatimiza walichoitiwa duniani

Ukiwa kama mnyama/ ndege, ikiwa ungepewa nafasi ya kujichagulia namna ya kupendwa na mfugaji wako, ungechagua hiyo ya kutokuchinjwa.

Lakini anayechagua namna ya kukupenda au anayejua sababu ya kukupenda (mnyama/ndege) ni mfugaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hatari sana, yaani kaua watu 46000 halafu kuna maelfu kawaacha na vilema halafu mnasema ana upendo?? Dah, hili neno upendo tunahitaji kuli define upya aisee.
Kwahiyo ukiwa na upendo hukiadhibu unachokipenda ? Sisi tuna wake na tuna watoto tunawaenda mno ila wakileta ujinga tunawaona onyo au kuwapa adhabu. Maana ya upendo inaingia adhabu, onyo na nasaha. Hii ndiyo maana kamili ya upendo.

Ndiyo maana mtu huitwa bwege akimpenda mtu pasi na kumuonya hata akikosea na mfano wa hayo.
 
Kwahiyo ukiwa na upendo hukiadhibu unachokipenda ? Sisi tuna wake na tuna watoto tunawaenda mno ila wakileta ujinga tunawaona onyo au kuwapa adhabu. Maana ya upendo inaingia adhabu, onyo na nasaha. Hii ndiyo maana kamili ya upendo.

Ndiyo maana mtu huitwa bwege akimpenda mtu pasi na kumuonya hata akikosea na mfano wa hayo.

hatari sana,
ushoga uhalalishwe marekani ,tetemeko lipelekwe uturuki na syria wanakotunza quran ,duh
 
hatari sana,
ushoga uhalalishwe marekani ,tetemeko lipelekwe uturuki na syria wanakotunza quran ,duh
Ndiyo maana tukasema vijana huwa mnakanusha mambo ambayo hamna Elimu nayo. Sasa hivi nabadilisha mtindo wa kujadiliana na watu kama nyinyi, nakuwa nawapa nafasi mjielezi na kujibu maswali.

Kwahiyo uturuki hakuna maovu ?

Sisi ambao tunaijua Uturuki hili si ajabu, lakini Allah anafanya mambo kwa hekima zake.
 
Utampangiaje mtu na mali yake??-- kuku mali yako kwanini umshikie bunduki wakati jioni ataingia bandani mwenyewe!!, wewe na mimi ni kama kuku wa Mungu na hapa duniani ni kama tupo bandani., Mungu kama akiudhika na maovu yetu anaweza kuipindua hii dunia kwa second na kila kitu kikatoweka.

Dunia yote na vilivyomo ni mali yake Mungu hata wewe kichwa ngumu ni mali yake na ndiye yeye aliyekuchagulia hiyo jinsia uliyonayo na kama angependa angekupa jinsia ya kike na usingemfanya kitu.

Mungu yeye kaona njia ya kuwapata wanyesubira ni kupitia njia hiyo ya tetemeko na katika hilo binadamu hana hiyari, yeye ndiye Mungu mwenye nguvu anatafuta watu wenye subira katika hali hiyo ya shida kwani kuwapata watu wenye nyoyo za subira katika faraja ni ngumu mno. Watu wenye subira wanaomtegemea yeye watu wasiokufuru katika shida hao ndio hatimaye atawapa; Glad tidings.
Huyu mungu uliemuandika wewe hapa,hana hekima!

Kama ni mjuzi wa yote, lakini hawezi kujua imani ya watu wake mpaka alete tetemeko lenye kuua maelfu ya watu, basi hafikii hata busara za kawaida za kibinadamu!
 
Wanaume wawili wameokolewa nchini Uturiki wakiwa bado wana uhai baada ya siku 13 kupita tangu tetemeko la ardhi kupita nchini mwao, wakati wana sayansi wanatuambia kwamba binaadamu hawezi kuishi baada ya siku 5 mwanaume na siku 7 mwanamke, kwasababu eti mwili wa binaadamu kuhitaji maji na chakula ilikuwa hai, kwa kilichogundulika nchini Uturuki sayansi imekuwa proved wrong.

Jamani amini Allah ndo anaetoa uhai wa binaadamu na ndo anaeuchukua.View attachment 2525457
MashaaAllah
Allahu akbar
M/mungu ni Mkubwa
 
Back
Top Bottom